Mikopo ipo kutegemea na unachokisomea
Kwa upande wa afya kuna wadhamini wanafadhili kulipia wanafunzi kwa kipindi chote cha masomo na hii hupatikana ukishafika chuoni
HaPana.
Kwa Private candidates mitihan kufanana imeanza hivi karibuni kuanzia mwaka 2015 kurud nyuma mitihan ilikuwa tofaut lkn pia nadhan grading za Pc zinatofautiana na SC
Duuh
Nasikitika kuona kwamba chuo nilichokuwa nikikikubali nacho tayari kina kasumba ya janja janja
So sorry guys tafuteni haki yenu kwa viongozi husika mtapata suluhisho haraka iwezekanavyo
Sasa hivi kila mtu anapambana na hali yake
Samahani wanajamvi,
Kwa mwenye laptop used ya bei nafuu iwe kwenye condition nzuri tuwasiliane tufanye biashara 0621036695.
Nahitaji aina yoyote BT Kama itapatkana macbook itakuwa poa zaidi.
Unadhani ile ilikuwa playback?,
Live band somchezo aiseeee[emoji205][emoji205][emoji205][emoji205]
Akiiva vizuri atajuwa anapost clips za video usijali kabisa
Wao ndo wanasafiria nyota ya Kiba
Wamebandika mpaka picha ya kiba studio kwao ya nini?
Raymond kamuimba wa nini?
Sallam alitikwa mapovu kwa sababu gani?
Diamond anamuimba kiba kila Mara akitafuta nini?
Nikipata majibu hapa ya kutosha zaidi ya matusi nakata pumbu la kushoto
Kwa walioomba kujiunga na vyuo vya afya na mkachaguliwa kujiunga na vyuo vya serikali, joining instructions zimetumwa kwenye emails zenu kaangalieni.
NB hii ni kwa walioomba kupitia NACTE
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.