Ni kweli kwamba hata diploma wanaomba mkopo kupitia HESLB?

Mikopo ipo kutegemea na unachokisomea
Kwa upande wa afya kuna wadhamini wanafadhili kulipia wanafunzi kwa kipindi chote cha masomo na hii hupatikana ukishafika chuoni
 
ninachofahamu ni kwamba wanafunzi wanaoomba diploma hawaombi mkopo bodi ya mikopo, ni vyuo gan vya diploma vinavopata udhamini (vya afya) ?
 
hii iliwezekana kipindi cha kikwete waliokuwa wakisoma diploma za sayansi walidhaminiwa na serikali. kwa leo sidhani....
 
Vigezo tajwa vp? Waweza kutuma mkuu?
02449914c88fdfe19fc13526c4629448.jpg
b234c1a88d6dafe364fd0c9761be0198.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom