Recent content by nafiaafrca

  1. nafiaafrca

    Mke wangu ameweka hii picha kwenye WhatsApp anamaanisha nini?

    Kuwa makini hiz dp za whastAp nyingi zineenda na mawazo ya kichwa monye au mipe kitochi Sent using Jamii Forums mobile app
  2. nafiaafrca

    Meseji (SMS) za dawa za Kiganga: Je, hawa ni matapeli? TCRA mko wapi? Namba wanatoa wapi?

    Kumekuwa na utapeli ambao mtu hutuma sms kujifanya kumsifia mganga wake wa kienyeji akishukuru kupata mari au kwa wanawake akisifiwa kuweka ndoa vizur mwanzo niliaanza kupata sms mimi nikajuwa aiza nimtu alikuwa akikosea sasa sms izo zimeanza kuingia kwenye simu ya mke wangu zikiwa na ulagai...
  3. nafiaafrca

    UPDATES: Mamkwe ameweka msimamo eti wife nae anizabe kibao ili yaishe!

    Usikubari mke akupiga kofi utakuwa zwazwa milele Sent using Jamii Forums mobile app
  4. nafiaafrca

    Wanaume wanaolia lia wanamauzi sana

    Wanawake nawashangaa sana unakuta shoo huwezi ukipigwa kamoja 2 unaanza kikema kama unafinyaa jipu unajuwa kuleta shida kama mtoto yatima matokeo yake nakuwa bakuchora 2 h Sent using Jamii Forums mobile app
  5. nafiaafrca

    Mke wangu amefundishwa tabia mbaya salon

    Ukiona manyoya Sent using Jamii Forums mobile app
  6. nafiaafrca

    Shida ya maji mwanza ilemela

    Chakusikitisha idara ya maji wamejipa mladi wa kuwatembezea watu maji kwenye gari lao la maji safi Sent using Jamii Forums mobile app
  7. nafiaafrca

    Shida ya maji mwanza ilemela

    Kiongozi nikama mwezi sasa maji hamna ila biri zinakuja zikiwa juu sasa unajiuliza kunamajini yanachota hayo maji Sent using Jamii Forums mobile app
  8. nafiaafrca

    Shida ya maji mwanza ilemela

    Tukama mwezi sasa maji yamekuwa shida hasa maineo ya pasians kiseke nk kama kunamtu wa idara ya maji aje atupe ufafanuzi tatizo nini maana biri mnatuletea tena kwa bwebwe Sent using Jamii Forums mobile app
  9. nafiaafrca

    Kuna under 30 anayemiliki gari na nyumba?

    Sijuwi ila mimi nina 28 na nyumba 2 na boma limesha ezekwa bado finishings Sent using Jamii Forums mobile app
  10. nafiaafrca

    Maoni: Rais Magufuli ahutubie kama Rais

    Ukiona baba anawambia watoto wake kuwa mimi ndoo baba yenu ujuwe hapo kunatatizo Sent using Jamii Forums mobile app
  11. nafiaafrca

    Wana Kigoma: Njooni mtusaidie kwanini Kigoma uwe mkoa masikini kuliko yote Tanzania?

    Vijana wengi wa kigoma mjini namanisha ujiji mwanga gungu hawependi kazi wanapenda starehe hebu jiulize pamoja na kutembea kwangu sijawahi kuona sehem wanaanzisha shindano la kumsaka vijana wanao vaa vizur halafu unataka maisha wamewekewa taa za barabaran wameng.owa sora ushauli tuache ubishoo...
  12. nafiaafrca

    Kwanini Rais analazimisha kuungwa mkono?

    Mzee anapenda kiki kunakamladi ka maji huku mwanza kengezinduriwa hata nawaziri kafosi aje yeye
  13. nafiaafrca

    Rais Magufuli atinga bandarini, ashangaa vichwa vya treni kushushwa na kukosa mwenyewe

    Kumbe naleo yupo anapenda kiki kama msaanii leo katowa singo nyingine
  14. nafiaafrca

    Fahamu zaidi kuhusu la ugonjwa wa Vitiligo na tiba yake

    Unajuwa huyu jamaa nilikiuwa nae kikazi sehem fran nakipindi unamwanza turianza kama kumtakia kwamba amenza kujichubuwa sasa yeye aliniacha kazini sasa leo ndoo nimekutana nae uso wote umanza kubadirika rangi nakuwa mabaka mabaka nimesikitika sana paka nikaketa uzi ha jf maana anasema kasha...
  15. nafiaafrca

    Fahamu zaidi kuhusu la ugonjwa wa Vitiligo na tiba yake

    Tena imekuja kwenye paki ra uso
Back
Top Bottom