Marekani nadhani chanjo ya mafua ipo na huchomwa kipindi cha mlipuko. Halafu virusi vya mafua ni vingi mno yani mafua utakayopata leo siyo sawa na virusi vya mafua utakayopata kesho. Virusi vya matua vinabadilika kwa kasi kuliko virusi vingine. Ila chanjo zipo
Israel baada ya Iran anaitamani Uturuki, nadhani maandalizi yameanza kujilinda. Soon alliances kibao zitatengenezwa maana dunia ishakuwa uwanja wa vurugu.
Wakuu nawaza kumnunulia mke kigari kidogo maana anasisitiza yeye anaweza kuendesha kigari kidogo kwa sasa bado hajazoea heka heka za barabara.
Mawazo yangu yanawaza Mazda Demio toleo la 2008 au 2013. Swali langu kwa wataalam wa magari, je gari hili lina changamoto gani?
Napenda mwonekano wake wa...
Mimi huwa natrade options. Kuna kipindi nlikuwa natrade kwa siku profit $200-400 aisee miezi 3 iliyopita imenigeuka kila stratergy haiwork. Nimejipa likizo.
Jipe likizo mkuu uendelee kusoma
Ukiingia vitani unakuwa na lengo. Toka mwanzo Marekani alisema ni kuangusha utawala.... Mpaka sasa hilo halijatimia. Sasa amearchieve nini?
Wale wale mnaosifia Marekani, ndio hao hao mlikuwa mnamcheka mrusi kuwa ameshindwa kuiangusha ukraine wakati ukraine ilikuwa supported na mataifa makubwa...
Marekani huwa anaepuka kupigana vita ma nchi ambazo zina silaha zinazoweza kufika sebuleni kwake.
Siku akipigana na nchi kama Turkey, Russia au China Raia wake wapenda vita wataigeuka serikali maana hawajawahi kupitia hali ambayo serikali yao huwapisha wengine. Septemba 11 mpaka leo inawapigisha...
Sisi tunamiliki magari used tunayonunua japan.
Gari la umeme cheap utakuta $20,000 bila kodi... Kununua used ni risk maana gari la umeme ni betri betri ikishapungua ubora umenunua kichomi maana unaweza kutankubadilisha betri ni nusu ya thamani ya gari.
Niliwahi kuishi na kijana fulani alikuwa kafukuzwa kwao. Nimeishi naye miezi 8. Kumbe jamaa mwizi wa boda na bajaji. Kuna kipindi alikuwa anaweza kuondoka hata siku mbili. Alikuwa fundi wa kuchomelea ananiambia yuko site mbali wanalala huko. Siku moja alinipiga ela ya kodi, ela ya friji nilikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.