Recent content by Nafaka

  1. Nafaka

    HP Spectre Core i7 10th Generation for sale

    Ram 8 gb SSD 512 Processor Intel(R) Core (TM) 7-1065G7 1.30ghz Bei 750,000 13 inch display Used
  2. Nafaka

    Huyu Tajiri huko CCM ana nafasi gani?

    Wasanii walioko dodoma wana cheo gani ccm? CCM kila anayetaka maslahi anajipeleka peleka tu. Ndivyo siasa za Afrika zilivyo naona hii imefika hadi US. We huoni baada ya uchaguzi kila tajiri wa US anajipendekeza kwa Trump. Mark Zuckerberg alikuwa anamkandia Trump hadharani now kapiga U-turn.
  3. Nafaka

    Ongeza kipato chako kwa kupitia simu au PC (Personal Computer) yako

    Oooh poa. Vni ngumu sana kufanya bado watu hawajawa na uelewa wa kutosha clients na freelancers.
  4. Nafaka

    Introducing New Range Rover Sport

    Ni ya TATA group ambayo mmiliki ni Ratan Tata mhindi. Huyu mhindi taarifa inasemekana angekuwa mmoja kati ya watu matajiri sana labda hata wa kwanza ila faida kubwa ya kampuni yake inatumika katika kufund shughuli za kijamii dunianj kama elimu, afya n.k duniani na yeye mapato anayochumiliki ni...
  5. Nafaka

    Introducing New Range Rover Sport

    Aliinunua sio partnership bali aliinunua mkuu na kuunda jaguar landrover.
  6. Nafaka

    Introducing New Range Rover Sport

    Hivi bado mmiliki ni TATA?
  7. Nafaka

    Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

    Ngoja waje watow mwongozo. Biashara ingekuwa rahisi hivi basi bila shaka unachukua mkopo bank ndani ya miez 3 umerudisha.
  8. Nafaka

    Sekretarieti ya Bunge: Kuna mapungufu katika Mkataba wa Bandari na DP World; ukomo wake uwekwe wazi

    Kama wengine walivyoondoka wakatushitaki tukalipa mabilioni au sio
  9. Nafaka

    Tanzania ni nchi pekee duniani inayopuuza tamaduni zake

    Inawezekana lakini kukubalika kwa watu wote si rahisi. Hivi mguu unajua like vazi la asili la wanawake wa kiganda linaitwa guma kumbe alilibuni mzungu kama uniform ya wanafunzi wa shule aliyokuwa akiiongoza enzi za ukoloni
  10. Nafaka

    Kitu gani kitanizuia kuwa Kama Elon Musk

    Kwani michael jordan ni mweupe kama elon? Mimi namwowngelea elon musk mweupe yule na haijawahi kuwa proud kuwa ni mwafrika. Anaji refer zaidi being Canadian kuliko hata usouth african.
  11. Nafaka

    Kwani CHADEMA huo mkutano ni kongamano la injili? Mnajiharibia

    Hata mimi sikubaliani na mkataba kabisa ila hii approach inaleta mgawanyiko na wateteaji wanaitumia vilivyo. Maaskofu wangeendelea kupga kelele kivyao
Back
Top Bottom