Hawa jamaa wa mabasi trafiki wanawachekea ... Yani wao hawajali wana overtake tu hasa kama ni gari dogo anakupelekea tu wewe ndiye utafute pa kwenda kama utaingia kwenye mtaro hiyo ni juu yako. Yani hawa wataua wengi
Masikini huwa wanahisi gari ndicho kitu cha maana sana. Huyo kama ametembsa hana pesa hilo gari linahitaji mafuta na service. Wangemtengenezea nazingira ya kupata kipato
Mimi hii naikubali. Ukifa uzikwe. Hizi za kuweka mwili wa marehemu magharana kwa familia. Unakuta mwili uko ndani siku tatu muwalishe watu, msiba unaisha familia ya marehemu ina hali mbaya kuliko alivyoiacha
Ni kweli lakini kwa kipato cha mtanzania na asilimiaa kubwa hatukopesheki, hizo nyumba zilizojengwa na real estate zinazokuwa overpriced tutaziweza kweli?
Sometimes gari inakuwashia taa ya check engine. Ukiscan inakuletea error 4. Kumbe huenda error moja ndio chanzo cha nyingine zote lakini fundi nay hajui unakuta unanunua vitu kibao. Mimi plug zilifanya gari ilete errors kibao
Wanaume wengi hawana gubu. Kuna mume wa asha rose migiro, huenda hata hakuna anayemjua, kuna waume wengi wa viongozi wanawake lakini huwa hawajulikani. Kwa kawaida wanaume hawapendi ku walk under a shadow of a woman.
Sema mzee hakuwa na makuu Mungu amlaze mahali pema peponi.
Hebu fikiria mkuu hivi. Unaamka asubuhi unahisi una homa na unaendesha sana. Unakwenda kumwona dokta unamwambia kuwa unataka dawa ya kukata kuendesha kwa sababu umegundua unaendesha sana.
Dokta anakupina anagundua pia una malaria inabidi ununue dawa ya malaria utakataa mkuu kwa sababu wewe...
Mkuu mimi niliwahi nunulishwa vifaa almost milion na upuuzi pale gerezani haki kumbe shida ni plugs tu.... Na hizo plugs baada ya kujua ni shida nilinunulishwa kila aina ya plug. Kuna fundi alisema ni gearbox kidogo ninunue gearbox nyingine kumbe shida sio gearbox ni hizo hizo plug gari...
Sasa utawala wa ayatollah umetoka wapi wakati hapa tunazumngumzia Israel? Kama unataka nikujibu nitakujibu. Nao Iran wana makosa yao kwa wananchi wao lakini haiwafanyi Israel wawe watakatifu. israel ni hatari kwa dunia
Yani unaongea kwa mihemko kwa sababu hufuatilii mambo. Israel na Zionist ni hatari kwa dunia nzima sio Afrika tu. Kwa hiyo hao jews waliokuwa white house juzi wao wamehaminishwa na nani? Kwanini wanapinga serikali yao?
https://m.youtube.com/shorts/fmOiA0ttH-8
Jipe nafasi ya kuwa huru, wasome hao...
Kwani waisrael sio adui wa afrika? Ulishwahi kusona lengo na zionist? Ndiyo maana kuna wayahudu wengi wanapinga serikali ya Israel na last week walikuwa white house na trump. Unaweza ingia mtandaoni uone hao wayahudi wanaopinga na kwanini wanapinga
Huyu kila nchi ya middle east ni adui yake na nashangaa wanaomuunha mkono. Akimalizana na hao itafuata saudi arabia, itakuja egypt, maana turkey nao tayari na hata hao UAE na kila nchi
Kama yeye hasemi na hajulikani alipo na alikiwa VP, wewe wadhani nini kitampata mtu baki akileta mdomo? Yesu alisema ikiwa mtu mbichi umetendewa hivi, itakuwaje kwa mti mkavu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.