Wasanii walioko dodoma wana cheo gani ccm? CCM kila anayetaka maslahi anajipeleka peleka tu. Ndivyo siasa za Afrika zilivyo naona hii imefika hadi US. We huoni baada ya uchaguzi kila tajiri wa US anajipendekeza kwa Trump. Mark Zuckerberg alikuwa anamkandia Trump hadharani now kapiga U-turn.
Ni ya TATA group ambayo mmiliki ni Ratan Tata mhindi. Huyu mhindi taarifa inasemekana angekuwa mmoja kati ya watu matajiri sana labda hata wa kwanza ila faida kubwa ya kampuni yake inatumika katika kufund shughuli za kijamii dunianj kama elimu, afya n.k duniani na yeye mapato anayochumiliki ni...
Inawezekana lakini kukubalika kwa watu wote si rahisi.
Hivi mguu unajua like vazi la asili la wanawake wa kiganda linaitwa guma kumbe alilibuni mzungu kama uniform ya wanafunzi wa shule aliyokuwa akiiongoza enzi za ukoloni
Kwani michael jordan ni mweupe kama elon? Mimi namwowngelea elon musk mweupe yule na haijawahi kuwa proud kuwa ni mwafrika. Anaji refer zaidi being Canadian kuliko hata usouth african.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.