Recent content by Nafaka

  1. Nafaka

    JamiiForums Tanzania Basi la Abood lagongana na IST wakati dereva 'aki-overtake', Watu wanne wafariki Dunia

    Hawa jamaa wa mabasi trafiki wanawachekea ... Yani wao hawajali wana overtake tu hasa kama ni gari dogo anakupelekea tu wewe ndiye utafute pa kwenda kama utaingia kwenye mtaro hiyo ni juu yako. Yani hawa wataua wengi
  2. Nafaka

    JamiiForums Tanzania Bibi alietembea kwa miguu ampe Rais zawadi ya kuku apewa gari

    Masikini huwa wanahisi gari ndicho kitu cha maana sana. Huyo kama ametembsa hana pesa hilo gari linahitaji mafuta na service. Wangemtengenezea nazingira ya kupata kipato
  3. Nafaka

    JamiiForums Tanzania Ndugu zetu waislamu hebu legezeni kamba za imani, kiongozi wa kitaifa akitangulia isiwe tangazo la msiba saa nne, saa nne, saa saba maziko

    Mimi hii naikubali. Ukifa uzikwe. Hizi za kuweka mwili wa marehemu magharana kwa familia. Unakuta mwili uko ndani siku tatu muwalishe watu, msiba unaisha familia ya marehemu ina hali mbaya kuliko alivyoiacha
  4. Nafaka

    JamiiForums Tanzania Tanzania watu binafsi wasirusiwe kujenga nyumba bali makampuni ya real estate

    Ni kweli lakini kutengeneza sera ambazo kiuhalisia hata wafanyakazi wa serikali yenyewe majority hawawezinkumudu gharama za hizo nyumba ni disaster
  5. Nafaka

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Deputy Speaker: Muhoozi "Will Be Our Next President

    Duh huyu MUHOZI bila baba yake sijui itakuaje
  6. Nafaka

    JamiiForums Tanzania Tanzania watu binafsi wasirusiwe kujenga nyumba bali makampuni ya real estate

    Ni kweli lakini kwa kipato cha mtanzania na asilimiaa kubwa hatukopesheki, hizo nyumba zilizojengwa na real estate zinazokuwa overpriced tutaziweza kweli?
  7. Nafaka

    JamiiForums Tanzania Msaada wa Garage nzuri ya Mercedes

    Sometimes gari inakuwashia taa ya check engine. Ukiscan inakuletea error 4. Kumbe huenda error moja ndio chanzo cha nyingine zote lakini fundi nay hajui unakuta unanunua vitu kibao. Mimi plug zilifanya gari ilete errors kibao
  8. Nafaka

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia

    Wanaume wengi hawana gubu. Kuna mume wa asha rose migiro, huenda hata hakuna anayemjua, kuna waume wengi wa viongozi wanawake lakini huwa hawajulikani. Kwa kawaida wanaume hawapendi ku walk under a shadow of a woman. Sema mzee hakuwa na makuu Mungu amlaze mahali pema peponi.
  9. Nafaka

    JamiiForums Tanzania Msaada wa Garage nzuri ya Mercedes

    Hebu fikiria mkuu hivi. Unaamka asubuhi unahisi una homa na unaendesha sana. Unakwenda kumwona dokta unamwambia kuwa unataka dawa ya kukata kuendesha kwa sababu umegundua unaendesha sana. Dokta anakupina anagundua pia una malaria inabidi ununue dawa ya malaria utakataa mkuu kwa sababu wewe...
  10. Nafaka

    JamiiForums Tanzania Msaada wa Garage nzuri ya Mercedes

    Mkuu mimi niliwahi nunulishwa vifaa almost milion na upuuzi pale gerezani haki kumbe shida ni plugs tu.... Na hizo plugs baada ya kujua ni shida nilinunulishwa kila aina ya plug. Kuna fundi alisema ni gearbox kidogo ninunue gearbox nyingine kumbe shida sio gearbox ni hizo hizo plug gari...
  11. Nafaka

    JamiiForums Tanzania Qatar ni nchi adui wa Israel-Benjamin Netanyahu!!

    Sasa utawala wa ayatollah umetoka wapi wakati hapa tunazumngumzia Israel? Kama unataka nikujibu nitakujibu. Nao Iran wana makosa yao kwa wananchi wao lakini haiwafanyi Israel wawe watakatifu. israel ni hatari kwa dunia
  12. Nafaka

    JamiiForums Tanzania Qatar ni nchi adui wa Israel-Benjamin Netanyahu!!

    Yani unaongea kwa mihemko kwa sababu hufuatilii mambo. Israel na Zionist ni hatari kwa dunia nzima sio Afrika tu. Kwa hiyo hao jews waliokuwa white house juzi wao wamehaminishwa na nani? Kwanini wanapinga serikali yao? https://m.youtube.com/shorts/fmOiA0ttH-8 Jipe nafasi ya kuwa huru, wasome hao...
  13. Nafaka

    JamiiForums Tanzania Qatar ni nchi adui wa Israel-Benjamin Netanyahu!!

    Kwani waisrael sio adui wa afrika? Ulishwahi kusona lengo na zionist? Ndiyo maana kuna wayahudu wengi wanapinga serikali ya Israel na last week walikuwa white house na trump. Unaweza ingia mtandaoni uone hao wayahudi wanaopinga na kwanini wanapinga
  14. Nafaka

    JamiiForums Tanzania Qatar ni nchi adui wa Israel-Benjamin Netanyahu!!

    Huyu kila nchi ya middle east ni adui yake na nashangaa wanaomuunha mkono. Akimalizana na hao itafuata saudi arabia, itakuja egypt, maana turkey nao tayari na hata hao UAE na kila nchi
  15. Nafaka

    JamiiForums Tanzania Ukimya wa familia ya Nchimbi unashangaza

    Kama yeye hasemi na hajulikani alipo na alikiwa VP, wewe wadhani nini kitampata mtu baki akileta mdomo? Yesu alisema ikiwa mtu mbichi umetendewa hivi, itakuwaje kwa mti mkavu?
Back
Top Bottom