Recent content by Nafaka

  1. Nafaka

    JamiiForums Tanzania Lets talk science kwa leo: Kwanini mpaka leo hakuna chanjo ya mafua?

    Marekani nadhani chanjo ya mafua ipo na huchomwa kipindi cha mlipuko. Halafu virusi vya mafua ni vingi mno yani mafua utakayopata leo siyo sawa na virusi vya mafua utakayopata kesho. Virusi vya matua vinabadilika kwa kasi kuliko virusi vingine. Ila chanjo zipo
  2. Nafaka

    JamiiForums Tanzania Huu muungano wa nchi tatu za Ghuba una maana gani mashariki ya kati?

    Israel baada ya Iran anaitamani Uturuki, nadhani maandalizi yameanza kujilinda. Soon alliances kibao zitatengenezwa maana dunia ishakuwa uwanja wa vurugu.
  3. Nafaka

    JamiiForums Tanzania Mazda Verisa aka Dogo Janja

    Mkuu nipe nondo za demio ya 2008/2011
  4. Nafaka

    JamiiForums Tanzania Mazda Demio 2008/2011

    Wakuu nawaza kumnunulia mke kigari kidogo maana anasisitiza yeye anaweza kuendesha kigari kidogo kwa sasa bado hajazoea heka heka za barabara. Mawazo yangu yanawaza Mazda Demio toleo la 2008 au 2013. Swali langu kwa wataalam wa magari, je gari hili lina changamoto gani? Napenda mwonekano wake wa...
  5. Nafaka

    JamiiForums Tanzania Kombora Jericho likiandaliwa rasmi tayari kwa kazi huko Iran!!

    Ndiyo fact ukiondoa propaganda za hollywood. Marekani ndiye huvamia nchi nyingine
  6. Nafaka

    JamiiForums Tanzania Kombora Jericho likiandaliwa rasmi tayari kwa kazi huko Iran!!

    Anayetishia amani ya kila mtu ni marekani na washirika wake... Iran anajilinda tu
  7. Nafaka

    JamiiForums Tanzania Forex inataka niua

    Mimi huwa natrade options. Kuna kipindi nlikuwa natrade kwa siku profit $200-400 aisee miezi 3 iliyopita imenigeuka kila stratergy haiwork. Nimejipa likizo. Jipe likizo mkuu uendelee kusoma
  8. Nafaka

    JamiiForums Tanzania Mpaka sasa, Iran katupia missiles ngapi huko Marekani mpaka aelekee kushinda vita,?

    Ukiingia vitani unakuwa na lengo. Toka mwanzo Marekani alisema ni kuangusha utawala.... Mpaka sasa hilo halijatimia. Sasa amearchieve nini? Wale wale mnaosifia Marekani, ndio hao hao mlikuwa mnamcheka mrusi kuwa ameshindwa kuiangusha ukraine wakati ukraine ilikuwa supported na mataifa makubwa...
  9. Nafaka

    JamiiForums Tanzania Mpaka sasa, Iran katupia missiles ngapi huko Marekani mpaka aelekee kushinda vita,?

    Marekani huwa anaepuka kupigana vita ma nchi ambazo zina silaha zinazoweza kufika sebuleni kwake. Siku akipigana na nchi kama Turkey, Russia au China Raia wake wapenda vita wataigeuka serikali maana hawajawahi kupitia hali ambayo serikali yao huwapisha wengine. Septemba 11 mpaka leo inawapigisha...
  10. Nafaka

    JamiiForums Tanzania Siyo sahihi kwa Mkristo kucheza gemu

    Vipi TV mkuu, vipi internet
  11. Nafaka

    JamiiForums Tanzania Kwa nini wakati dunia imekazana kuhamia kwenye magari ya umeme sisi tumekaza kuhamia magari ya gesi?

    Sisi tunamiliki magari used tunayonunua japan. Gari la umeme cheap utakuta $20,000 bila kodi... Kununua used ni risk maana gari la umeme ni betri betri ikishapungua ubora umenunua kichomi maana unaweza kutankubadilisha betri ni nusu ya thamani ya gari.
  12. Nafaka

    JamiiForums Tanzania Wema Wangu Umeniponza au Nilisalitiwa na Watu Niliowaamini?

    Niliwahi kuishi na kijana fulani alikuwa kafukuzwa kwao. Nimeishi naye miezi 8. Kumbe jamaa mwizi wa boda na bajaji. Kuna kipindi alikuwa anaweza kuondoka hata siku mbili. Alikuwa fundi wa kuchomelea ananiambia yuko site mbali wanalala huko. Siku moja alinipiga ela ya kodi, ela ya friji nilikuwa...
  13. Nafaka

    JamiiForums Tanzania Oliver N’goma: Mmoja kati ya wanamuziki bora zaidi wa kiume wa miondoko ya Zuku

    Pia ashukuruwe Producer Manu Lima kwa kupika hivi vibao. Siku hizi kazeeka japo bado anafanya muziki
  14. Nafaka

    JamiiForums Tanzania Oliver N’goma: Mmoja kati ya wanamuziki bora zaidi wa kiume wa miondoko ya Zuku

    Mkuu zile lyrics za Ng'e unaweza nipa tafsiri yake. Yani ni ngoma ambayo nikiwa depressed huwa ni auto replay
  15. Nafaka

    JamiiForums Tanzania Prof. Anna Tibaijuka hana Legitimacy ya kuwakosoa mafisadi wenzake

    Kuna kosa kwa mtenda dhambi kutubu akaanza kukemea dhambi? Kwa wakristo, paulo alikuwa mtesi na muuaji wa wafuasi wa kristo.
Back
Top Bottom