Faragha ni nini? umenukuu kifungu cha Faragha katika katiba. Weka nukuu ya kifungu cha sheria pia kuhusu ushoga ili kubalance. Sipendi ushoga na sita kujapenda ila nataka kujua hoja ya kisheria. Kama tuna mapungufu kisheria tujue ili tujisahihishe hilo tu.
Wadau wa JF nawasalimu,
Nimevunja kioo cha PC yangu aina ya Mac ya mwaka 2012. Nimeambatanisha picha ambayo inaweza kusaidia specifications zake. Kama unayo wasiliana nami kwa namba 0622 328 549.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.