Recent content by Na hili mkalitizame

  1. Na hili mkalitizame

    Kwanini awamu hii kila kitu wanataka kiitwe jina la Rais. Kunahitajika sheria mahususi

    Huu upuuzi umeendelea hadi barabara za mitaa zimepewa majina ya hovyo.
  2. Na hili mkalitizame

    Timu zilizofuzu nusu fainali ya caf champions league 2023 ndio hizo hizo zimefuzu Caf AFL 2023. Hakuna timu mpya

    This time amekosekana WAC. Nusu fainali hii itakuwa na sura ngeni kidogo.
  3. Na hili mkalitizame

    Mtabiri nchini Libya aitabiria Simba kuingia nusu fainali

    https://www.jamiiforums.com/threads/utabiri-robo-fainali-cafcl-nusu-fainali-mpaka-mshindi-wa-cafcl.2193412/ Kama kuna mfanano na alichoandika huyu. Tusubiri tuone.
  4. Na hili mkalitizame

    Bei ya Mahindi 2024 itamnyanyua au itamnyanyasa Mkulima?

    Kwa kweli awali ya yote nimshukuru Mweshimia Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassani.
  5. Na hili mkalitizame

    Leo nimerudia kuzisikiliza Msinitenge, Ni Kazeze, Kosa la Marehemu, Bush Party na Homa Dunia

    Ferouz basi hebu tuliza nafsi Pole sana kwa mkasa wa bosi
  6. Na hili mkalitizame

    Jirani yangu anatoka nje akiwa kavaa boksa tu (nguo ya ndani )

    Nilidhani unanisema mimi ambaye nipo nyumbani kwangu usinipangie kutoka na boxer au TVS ni maamuzi yangu binafsi! Ila mchane haijakaa poa hiyo!
  7. Na hili mkalitizame

    Ni Tanzania pekee kuna mgao wa Umeme kwa sasa Afrika nzima

    Wametudhalilisha sana walimu wakuu wa sekondari wamekuwa walimu wa hovyo kutokea nchini!
  8. Na hili mkalitizame

    CHAKUHAWATA wajibu tuhuma za viongozi wao kugawana Tsh. Milioni 400 za michango ya Wanachama

    Bila nyie wenyewe wa kilindi kupambana haitakuwa kazi nyepesi. Kukusaidia tu ni kuwa kufikia januari mosi mtakuwa mmefikiwa wasiliana na kaimu katibu wa CHAKUHAWATA hapo kilindi. Changamoto ya kukosa barua ya kumtambulisha kwa mwajiri itakuwa imetatuliwa kufikia januari mosi.
  9. Na hili mkalitizame

    CHAKUHAWATA wawageuza Walimu upatu, wagawana Tsh. Milioni 400 za Wanachama

    Makato hayatakiwi kuzidi 2%. Mwakilishi anatoka katika chama chenye wanachama wengi.
  10. Na hili mkalitizame

    CHAKUHAWATA wawageuza Walimu upatu, wagawana Tsh. Milioni 400 za Wanachama

    Kwanza wewe sio mwandishi wala sio mwalimu ila utakuwa kama sio kamchepuko ka mtu wa CWT ndio unaweza kuandika upuuzi kama ulioandika. Hata kiswahili tatizo uandishi ndio sifuri kabisa!
  11. Na hili mkalitizame

    Wataalam wa masuala ya utumishi na utawala soma hapa

    Unajua unapohama kwa njia za panya hupaswi kuanika juani kila jambo lako. Usiwaweke wazi kila jambo mengine heri uwadanganye tu kisha ukweli baki nao mwenyewe!
Back
Top Bottom