Huyu jamaa ni mkorofi sana sijui huwa anajiamini kitu haishi vizuri hata na wanaomzunguka hata sasa huko Handeni ana mitifuano mikali na jirani yake.
Inasemekana jamaa ameamua kujenga ukuta kwenye eneo la barabarani ili kumzuia jirani yake aside na sehemu ya kupita kuingia kwake. Jirani yake...
https://www.jamiiforums.com/threads/utabiri-robo-fainali-cafcl-nusu-fainali-mpaka-mshindi-wa-cafcl.2193412/
Kama kuna mfanano na alichoandika huyu.
Tusubiri tuone.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.