https://www.jamiiforums.com/threads/utabiri-robo-fainali-cafcl-nusu-fainali-mpaka-mshindi-wa-cafcl.2193412/
Kama kuna mfanano na alichoandika huyu.
Tusubiri tuone.
Bila nyie wenyewe wa kilindi kupambana haitakuwa kazi nyepesi.
Kukusaidia tu ni kuwa kufikia januari mosi mtakuwa mmefikiwa wasiliana na kaimu katibu wa CHAKUHAWATA hapo kilindi.
Changamoto ya kukosa barua ya kumtambulisha kwa mwajiri itakuwa imetatuliwa kufikia januari mosi.
Kwanza wewe sio mwandishi wala sio mwalimu ila utakuwa kama sio kamchepuko ka mtu wa CWT ndio unaweza kuandika upuuzi kama ulioandika.
Hata kiswahili tatizo uandishi ndio sifuri kabisa!
Unajua unapohama kwa njia za panya hupaswi kuanika juani kila jambo lako.
Usiwaweke wazi kila jambo mengine heri uwadanganye tu kisha ukweli baki nao mwenyewe!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.