Recent content by Na hili mkalitizame

  1. Na hili mkalitizame

    DOKEZO Uonevu uliokithiri Idara ya Elimu Manispaa ya Moshi

    Huyu jamaa ni mkorofi sana sijui huwa anajiamini kitu haishi vizuri hata na wanaomzunguka hata sasa huko Handeni ana mitifuano mikali na jirani yake. Inasemekana jamaa ameamua kujenga ukuta kwenye eneo la barabarani ili kumzuia jirani yake aside na sehemu ya kupita kuingia kwake. Jirani yake...
  2. Na hili mkalitizame

    Mbona sisikii tena kauli mbiu ya Hapa kazi Tu?

    I always believe that the members in this network are very intelligent. but others have little ability to think surpassed by my fifth child.
  3. Na hili mkalitizame

    Kwanini awamu hii kila kitu wanataka kiitwe jina la Rais. Kunahitajika sheria mahususi

    Huu upuuzi umeendelea hadi barabara za mitaa zimepewa majina ya hovyo.
  4. Na hili mkalitizame

    Timu zilizofuzu nusu fainali ya caf champions league 2023 ndio hizo hizo zimefuzu Caf AFL 2023. Hakuna timu mpya

    This time amekosekana WAC. Nusu fainali hii itakuwa na sura ngeni kidogo.
  5. Na hili mkalitizame

    Mtabiri nchini Libya aitabiria Simba kuingia nusu fainali

    https://www.jamiiforums.com/threads/utabiri-robo-fainali-cafcl-nusu-fainali-mpaka-mshindi-wa-cafcl.2193412/ Kama kuna mfanano na alichoandika huyu. Tusubiri tuone.
  6. Na hili mkalitizame

    Bei ya Mahindi 2024 itamnyanyua au itamnyanyasa Mkulima?

    Kwa kweli awali ya yote nimshukuru Mweshimia Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassani.
  7. Na hili mkalitizame

    Leo nimerudia kuzisikiliza Msinitenge, Ni Kazeze, Kosa la Marehemu, Bush Party na Homa Dunia

    Ferouz basi hebu tuliza nafsi Pole sana kwa mkasa wa bosi
  8. Na hili mkalitizame

    Jirani yangu anatoka nje akiwa kavaa boksa tu (nguo ya ndani )

    Nilidhani unanisema mimi ambaye nipo nyumbani kwangu usinipangie kutoka na boxer au TVS ni maamuzi yangu binafsi! Ila mchane haijakaa poa hiyo!
  9. Na hili mkalitizame

    Ni Tanzania pekee kuna mgao wa Umeme kwa sasa Afrika nzima

    Wametudhalilisha sana walimu wakuu wa sekondari wamekuwa walimu wa hovyo kutokea nchini!
Back
Top Bottom