Recent content by N16

  1. N

    How the Dreamliner is Killing Tanzanians dream?

    Mtoa hoja anasema Tz kuna shida kubwa mno ya ajira na hivyo utegemezi unaongezeka sana. Ni kweli kabisa lkn suluhu yake ni nini? Watu wengi tunafikiri ya kuwa sekta ya utalii ikiendelezwa inaweza kutusaidia mno katika kupunguza tatizo la ajira.Huwezi kuwa na sekta imara ya utalii kama huna...
  2. N

    Je, ni busara kujenga nyumba kwa milioni 150 kisha kukusanya kodi laki 6 kwa mwezi?

    Changamoto kubwa ni kuwa uamuzi wa uwekezaji unafanywa holela na si systematic.mko bar mnakunywa castle unapewa wazo la biashara na maneno hayo yanakuwa msingi wa uamuzi. Maswali ya kuwa : Mosi , Uwekezaji unarudi lini?.Pili, Nia ya kuwekeza ni nini i.e Cashflow au hutaki pesa zipotee? Wala...
  3. N

    Cyril Ramaphosa, Jacob Zuma na Tanzania!

    Wazambia pia wanauwawa huko bondeni.
  4. N

    Tetesi za Majjizo kuzaa na Salma Msangi

    Ni OCG . Ana kibito , tajiri mtoto.
  5. N

    Bashe kwenye haya maamuzi kama yatatekelezwa utakuwa umemsaidia Raisi na uchumi kwa kiwango kikubwa

    Hiyo ndiyo raha ya kuwateua watu wenye uzoefu wa biashara na wanatoka sekta binafsi kwenye nafasi za maamuzi.kongole sana mh bashe.endelea kusema ndiyo achana na hapana za miaka ya karibuni. Binafsi nasema kila siku hivi unadhani uchumi ungekuwa na hali gani kama Charles kimei angekuwa waziri wa...
  6. N

    Msaada: Biashara ya mbaao ngumu (mninga na mkongo)

    Hiyo biashara ni Bora uwe na kijiwe mjini unauza mbao utapata pesa lkn ukiingia sehemu nyingine yeyote kwenye mnyororo wa hiyo biashara , utaishia kukimbiza mwenge tu.
  7. N

    Tunasema ndege mali ya wakala wa ndege za Serikali,imejaa nembo za ATCL, wadeni wetu wana haki ku-lift the veil kujua mwali anayefichwa!

    Kuwa na shirika la ndege ni kipande muhimu mno cha mkakati wa kuendeleza sekta ya utalii. Ni lazima tuishinde changamoto ya wadeni mbalimbali wa ATC na sovereign kukamata ndege zetu ili kutushinikiza kuwalipa.Tusirudi nyuma.
  8. N

    Waziri Lukuvi badala ya kuwatishia Watanzania wa hali chini kichumi wawezeshe, si kila aliyepewa kiwanja ni fisadi au ana kipato kama wewe

    Kuendeleza maana yake si ujenge nyumba iishe, hata ukiweka msingi umeendeleza.Mimi mtazamo wangu ni speculator tu ndiye ananunua viwanja haombi hata kibali cha ujenzi fikra yake bei ipande apate faida.
  9. N

    Serikali kusaini mkataba wa ujenzi wa Daraja kuvuka ziwa Victoria kutoka Kigongo-Busisi utakaogharimu Tzs bilioni 699.6

    Binafsi naona huo ni uamuzi mbaya kwasababu pesa hizo zinatosha kujenga barabara kwa kiwango cha lami kutoka Dar kwenda Iringa na chenji ya zaidi ya billion 100 ikabaki .Tukumbushane ni kuwa ni ilani ya uchaguzi ya 2015/2020 CCM imeahidi kujenga barabara kwa kiwango cha lami karibia km 7,0000...
  10. N

    Chimbuko la wapogoro

    Shi
  11. N

    Naomba kujuzwa kuhusu kilimo cha tumbaku Tanzania

    Pamba nayo ni kupoteza muda tu.
  12. N

    Biashara ya Mahindi Rwanda..

    Mimi sikuwa na account humu lkn Kwa hili nimefunga account.Naomba Tuzungumze.
  13. N

    Utajiri wa Irene Uwoya

Back
Top Bottom