Recent content by N THE GREAT

  1. N

    Ukitoa kufuata Mkumbo, Kutumia umeme kupika ni nafuu kuliko Gas na mkaa

    Hiyo isoyochagua sufuria ni infrared cooker
  2. N

    Gypsum bora kwa sasa

    Naomgezea swali, je zile board double huhesabika ni Moja au mbili ktk kununua?
  3. N

    Adding FTA channels AzamTV

    Na add setilite ipi?..ileile Azam anakamatia?
  4. N

    Naomba ufafanuzi kuhusu hii mbolea ya kukuuzia mahindi

    Maafsa kilimo Hawa vijana wa Sasa hawajui lolote maana hao ni vijana wa Kota..wamekulia mijini
  5. N

    Nimempa mimba mama mwenye nyumba wangu

    Naombeni ushauri ndugu zangu, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29, naishi mkoani Iringa hapa mjini. Nimepanda kwenye nyumba Moja hapa mtaani (mtaa sitautaja) hapa nilipopanga pia mwenye nyumba anaishi hapahapa Mama mwenye nyumba ni nurse na baba ni mwalim, lakini baba mwenye lakino huyu...
  6. N

    Maelfu waitwa kwenye usaili ajira za ualimu 2024

    Hii ni furusha ya vijana kuharibu nauli zao wakiuelekea mchakato wa kusaka ajira...endeleeni kupambanaa mtaani ipo siku MUNGU atawafungulia njia...ila kupata ajira hizi ambazo walioitwa elfu 20..wanaotakiwa Mia mbili..🤣🤣🤣🤣
Back
Top Bottom