Recent content by N-handsome

  1. N-handsome

    Nani yupo nyuma ya Uhuni huu kwa Sabaya?

    Mbona yeye alivyokua ana operate mkoa sio wake haikua tatizo?
  2. N-handsome

    Kwa mkao huu Mbowe kamkosea heshima Rais

    Hebu toa mfano wa kukaa kwa adabu na heshima
  3. N-handsome

    Kwa mkao huu Mbowe kamkosea heshima Rais

    Tupe somo tukikutana na Rais tukae vipi?
  4. N-handsome

    Zuhura Yunus kudai uteuzi wake ulikuwa wa kushtukiza, hakuwa na taarifa ni kweli? Kwanini hakujuzwa?

    Kushitukiza? mbona aliachia ngazi BBC kabla uteuzi haujatangazwa? kaanza siasa hata mechi haijaanza?
  5. N-handsome

    TANZIA Mwanachama wa JamiiForums - Jikeshupa amefariki dunia

    RIP in this situation sioni ubaya wa disclose her identity for reference.
  6. N-handsome

    Nimempiga mpenzi wangu baada ya kukuta ujumbe wa kimapenzi kwenye simu yake

    Huo ni unyanyasaji, uduni na upuuzi kama ana mahusiano mengine toka tafuta wa kwako peke yako
  7. N-handsome

    Vyombo vya Dola vichimbue kwa kina muelekeo wa CHADEMA kutumia waliokuwa Maafisa wa Jeshi katika shughuli zake, naona wana nia ovu kwa usalama wa nchi

    Muda mwingine ficha ujinga wako, ni makamanda wangapi wa vyombo vya ulinzi na usalama wastaafu wako CCM? Adadi Rajab yuko wapi? au ccm ndio wako exempted kuwa na hao watu? shame on you
  8. N-handsome

    Jackline Mahulwa Masanja: Nyota iliyozimwa kabla ya kuangaza

    Pole sana RIP Jackline na Mwenzie, ungeshare their numbers dont hold information as you have decide to speak up
  9. N-handsome

    Rais Samia anajua akikopa asilimia 21 ya mkopo unaenda Zanzibar. Watanganyika wamelala usingizi

    Nafikiri inaenda kwa asilimia za mikoa as the primary level ya government. Sio issue
Back
Top Bottom