Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,576
- 217,940
Hii ndio Africa bhana! Da Rosa alipokuwa Simba alikataliwa kufundisha timu hiyo kwenye mashindano ya Ligi ya Mabingwa kwa madai kwamba hajakidhi vigezo vya Elimu anayotakiwa kuwa nayo kocha anayesimamia timu kwenye michuano hiyo
Bali leo ameonekana alisimamia timu ya Taifa inayoshiriki michuano ya AFCON hivi Champions League ni kubwa kuliko AFCON?
Bali leo ameonekana alisimamia timu ya Taifa inayoshiriki michuano ya AFCON hivi Champions League ni kubwa kuliko AFCON?