Hili ni swali ambalo huwa nakaa najiuliza sana kila ninapoona juhudi za serikali kutafuta wageni na kuwahimiza kuwekeza kwenye kila sekta.
Ninapokuja kwenye sekta ya kilimo ndipo najiuliza zaidi. Hivi serikali inashindwa kuweka mikakati ya kuwasaidia watu wake waweza kufanya kilimo kiasi cha...
Sasa mtu asome taaluma fulani then akajiajiri sijui kufungua duka, sijui kilimo sawa sawa tu na mtu wa darasa la saba. Elimu ya imekosa na mathara yake yatakuja pale nchi itakapoanza kukosa wataalamu wa fani fulani na kuendelea kutumia wa nje kama hali hii itaendendea maana watu wachache...
Kwa vile amesema kwao masikini bila shaka hata elimu hawana na kama hakuna elimu definitely kuna umasikini wa kifikra. Hivyo usiwachukie maana kama mtu hajitambui suluhisho ni kumsaidia ajitambue. Utafanya hivi kwa kuongea nae kwa uwazi na endapo ataweza kujitambua safi hapo umefanya msaada...
acha kuwachanganya watu na wewe kujichanganya. Hapa tunaongelea Uhandisi na wala sio usanifu na majengo. Hivi ni vitu viwili tofauti kwa mkitadha wa mada tajwa.
binafsi sikuwahi kukubali kuwa tatizo ni chama. I always believed in indivualism and not a system but to this juncture no CCM in my way, let it go to hell
Tatizo la watu wengi ni uelewa mdogo pamoja na kuchukulia hoja kwa juu juu tu na kishabiki hivyo kuishia kutoelewa. Kama nitakumbuka vizuri Mh. Zitto alitumia maneno yafuatayo: NINASIKIA, KUNA TETESI. Kimsingi maneno hayo hayamaanishi kwamba alikuwa anatoa hitimisho kwamba hoja yake ilikuwa...
Kama tutakumbuka vizuri kati ya mambo yaliyokuwa mahitaji ya watu wengi ni
1.Ajira kwa vijana
2.Maji
Sijaona lolote likiguswa ukiachilia mbali miradi ya maji iliyoachwa ikiendelea awamu ya nne.
Watu wanatoka mazingira magumu na wanasoma wakijua pa kuanzia pamepatikana.
Kijana anasoma akiwa wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.