Recent content by MZURI SANA

  1. MZURI SANA

    Natafuta mwanaume wa kunioa

    Siwezi kuwa zobazoba kama huyo mbaba mei
  2. MZURI SANA

    Natafuta mwanaume wa kunioa

    Kipi niseme
  3. MZURI SANA

    Nashukuru Mungu kwa kunipa uzuri

    Una saikolojia fupi kuna mwanamke asiyejikubali jamani
  4. MZURI SANA

    Nashukuru Mungu kwa kunipa uzuri

    Wewe wenzako wanahitaji
  5. MZURI SANA

    Natafuta mwanaume wa kunioa

    Sitaki namtafuta
  6. MZURI SANA

    Natafuta mwanaume wa kunioa

    Hongera sana
  7. MZURI SANA

    Natafuta mwanaume wa kunioa

    nimekuchosha na lipi
  8. MZURI SANA

    Natafuta mwanaume wa kunioa

    niseme nini ?
  9. MZURI SANA

    Ukipata kitu gani katika maisha utasema umefanikiwa

    Habari . Ukipata nini kwenye maisha nafsi yako itatulia na utasema umefanikiwa?
  10. MZURI SANA

    Nyimbo zipi za bongo fleva kushuka 2010 unazozikubali

    Tuambie list ya Bongo fleva kuanzia 2010 kushika chini unazozikubali. Lady jaydee machozi na Damu. Mwanafa Yalaiti Diamond platnumz kamwambie. Niambie wewe?
  11. MZURI SANA

    Natafuta mwanaume wa kunioa

    Mambozz. Jamani natafuta mwanaume wa kunioa humu jf. Awe na Hela kwenye Acc yake isome 900M na kuendelea. Awe na passport na imetiwa muhuri wa nchi 5 za ulaya kuendelea. Awe na nguvu za kiume. Gari kuanzia tano ndogo kabisa iwe Harrier. Awe mkazi wa Mbezi Beach, Masaki , Oysterbay, Ununio...
Back
Top Bottom