Nashukuru Mungu kwa kunipa uzuri

Nashukuru Mungu kwa kunipa uzuri

Mamboz.

Kiukweli nashukuru Mungu kwa kuniumba mzuri na kunipa na shape.

Nimepata maisha connection na vingi kupitia huu uzuri wangu mie.

Kuna yeyote uzuri umekusaidia ?
Bila vivid examples with pictures 🖼️🖼️ huu Uzi ni batili weka picha mkuu😂😂🤣🤣🤣🤓🤓😊☺️
 
Mamboz.

Kiukweli nashukuru Mungu kwa kuniumba mzuri na kunipa na shape.

Nimepata maisha connection na vingi kupitia huu uzuri wangu mie.

Kuna yeyote uzuri umekusaidia ?
Aya Mulembwendee (mulembo)
 
Wanawake wenyewe hawajikubali kama wao ni wazuri, na hakuna mwanamke anayeweza kujikubali tena wengine wanajikataa hata wanapo ona vipochi manyoya vyao ndiyo wanajikaa kabisa na kujichukia.

Wewe ni mvulana tena papai urojo..

Nb: HAKUNA MWANAMKE ANAYEJIKUBALI KAMA YEYE NI MZURI HATA IWAJE, NDIYO MAANA TUNAVYO WATONGOZA INABIDI UMPAKE MAFUTA KWA MGONGO WA CHUPA
 
Mamboz.

Kiukweli nashukuru Mungu kwa kuniumba mzuri na kunipa na shape.

Nimepata maisha connection na vingi kupitia huu uzuri wangu mie.

Kuna yeyote uzuri umekusaidia ?
Hongera kwa kuwa mzuri, umejikubali mwenyewe. Ila siku hizi hatupendi wazuri tunawaacha mpambane na shepu zenu.
 
Wanawake wenyewe hawajikubali kama wao ni wazuri, na hakuna mwanamke anayeweza kujikubali tena wengine wanajikataa hata wanapo ona vipochi manyoya vyao ndiyo wanajikaa kabisa na kujichukia.

Wewe ni mvulana tena papai urojo..

Nb: HAKUNA MWANAMKE ANAYEJIKUBALI KAMA YEYE NI MZURI HATA IWAJE, NDIYO MAANA TUNAVYO WATONGOZA INABIDI UMPAKE MAFUTA KWA MGONGO WA CHUPA
Una saikolojia fupi kuna mwanamke asiyejikubali jamani
 
Kwa hiyo we ni pisi kali, model, portable, umbo namba nane umekamilika kila idara, mwili utafikiri umemwagiwa asali, taarabu imo, mgongo bambataa, hips zimetuna nikikuona sitaona dosari?
 
Kuna watu wataingia kichwakichwa wakiamini wewe ni KE kweli kumbe...
 
Mamboz.

Kiukweli nashukuru Mungu kwa kuniumba mzuri na kunipa na shape.

Nimepata maisha connection na vingi kupitia huu uzuri wangu mie.

Kuna yeyote uzuri umekusaidia ?
Ukahaba ni kama kito cha thamani katika pua ya nguruwe.
 
Uzuri bila akili kichwani basi ujue ni mzigo jitafakali
 
Back
Top Bottom