mtwara tumejipanga sana,na wanajua kuwa mtwara kwa sasa ni watu ambao hawadanganyiki,ww xubir mkutano wa kinana hapa mtwara utaona kama hawataitwa walimiu wote na wanafunzi mujAza mkutano kama walivyofanya kipindi vha mwenge
siasa za ccm ndizo imeifikisha nchi ilipo mfano kila mwananchi anaona hakuna umuhimu wa kupiga kura kisa ccm wanaiba tu,kutokuwepo mabadiliko ya uchumi,kupigwa kwa wapinzani na rushwa nayo imekuwa kawida kwa kila sector sasa kixa imeifikisha nchi sehemu mbaya xana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.