U
UKAWA au si UKAWA lakini safari hii, ccm umejichafua mno. Tatizo mlidhani bado tupo mwaka 47. Watu wameamka, watu wana hasira.
Mmechukua gesi ya Ntwara mkaenda gawana cha juu hata kabla haijafika darisalama! Ama kweli, ndo maana mkaweka majeshi kule kwamba mle wenyewe tuuuu. Jamani, Njomba, unachota hazina yetu kwa ntutu wa kifaru. Hakiyanani kusini mlijizika wenyewe tuu. Hakuna haja ya picha ya upinzani. CCM msidanganywe na Kinana, anawavutia watu kwa mchele wa maharage na malori ya mchanga kuwasomba kutoka mbali. Tatizo, hawarudishi, hii ndo inatia uchungu zaidi