shadow recruit JF-Expert Member Joined Dec 28, 2011 Posts 1,844 Reaction score 384 Nov 20, 2014 #21 Emma. said: hawa wabunge wa ccm ni wachumia tumbo tuu Click to expand... Siyo wa UKAWA mkuu? Ok! Zitto alisema wa UKAWA ni wasaka tonge.
Emma. said: hawa wabunge wa ccm ni wachumia tumbo tuu Click to expand... Siyo wa UKAWA mkuu? Ok! Zitto alisema wa UKAWA ni wasaka tonge.
M MZungu Jeuli Member Joined Nov 16, 2014 Posts 12 Reaction score 1 Nov 20, 2014 #22 ccm ni janga ka kitaifa,hao wabunge wa ccm ni wapiga dili tu nao hawana lolote,wao kubwabwaja
Doppelganger JF-Expert Member Joined Dec 26, 2012 Posts 1,858 Reaction score 758 Nov 20, 2014 #23 Sipati picha Werema atakavuotokwa povu pale Kafulila atakapotumia fursa kumpa za chembe bwana mkubwa...
Sipati picha Werema atakavuotokwa povu pale Kafulila atakapotumia fursa kumpa za chembe bwana mkubwa...