mjepo
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 4,913
- 919
Hata mamayako alivyotekwa sikulalamika.Mama yako akitekwa usilalamike
Hata mamayako alivyotekwa sikulalamika.Mama yako akitekwa usilalamike
Farasi akitaka kufa ni hatari kubwa anapiga sana mateke. Kuweni chonjo na mateke ya CCM ni balaa.
sisi tushaamuka wewe kama bado umelala kivyako ndiyo maana ukawa tunawazarau sana kwasababu tunajitambua.
nauliza nyinyi wafuasi wa chadema mbona mnamatusi sana mmechanganyikiwa?
Ccm mwaka huu huenda wengi watafariki
Mkuu nawe unaamini maneno ya kitoto hii???!!Imefikia mahali na nyie washughulikieni , kwa kuanzia tafuteni hiyo hiace mchome moto.
Iringa inaonekana siyo mahali salama kwa chadema nikikumbuka hata utekaji wa Rose Kamili huko Kalenga.
Mkuu nawe unaamini maneno ya kitoto hii???!!
Kazi ya uhamasishaji kama hiyo mlango kwa malngo alikuwa anafanya peke yake? ?!!
Anachukuliwa say kwenye corridor hata kelele hapigi yaani kama kuku kalowana!!!
Walikuwa wangaoi na silaha gani hao watu??!!
Aliagizwa na nani kufanya hiyo kazi na walichukua tahadhari gani ya usalama maana angeweza kukutana na mtu asiyependa ushabiki wa kisiasa akaamua kumtandika makofi pia kumsingizia kuwa alimkuta ndani kwake ye akiwa katoka dukani!!!
Kama wewe ni gamba huwezi kuwa safi mpaka ulivue hilo gamba lako.
Akili ku mkichwa kama wewe ni mwanafunzi wa chuo na upembuzi wako ndio huu hapo juu!!!
Kazi ipo!!!
Mkuu amini usiamini utekaji upo tena sana.Mkuu nawe unaamini maneno ya kitoto hii???!!
Kazi ya uhamasishaji kama hiyo mlango kwa malngo alikuwa anafanya peke yake? ?!!
Anachukuliwa say kwenye corridor hata kelele hapigi yaani kama kuku kalowana!!!
Walikuwa wangaoi na silaha gani hao watu??!!
Aliagizwa na nani kufanya hiyo kazi na walichukua tahadhari gani ya usalama maana angeweza kukutana na mtu asiyependa ushabiki wa kisiasa akaamua kumtandika makofi pia kumsingizia kuwa alimkuta ndani kwake ye akiwa katoka dukani!!!
Akili ku mkichwa kama wewe ni mwanafunzi wa chuo na upembuzi wako ndio huu hapo juu!!!
Kazi ipo!!!
Sikushangai kwa akili yako ilivyo finyu maana hata mama yako akitekwa na kubakwa utashangilia kwasababu unapokea buku 7 kutoka Lumumba.