Baba amekunywa mix soda na bia mpaka sasa miaka 60 yupo bombs sasa sijui sayansi hizi maana had na bidhaa ambayo ya kusimikwa haina madhara zote no makemiko tu tusidanganyane kesho watasema tuchemshe maji Kilimanjaro Nayo sumu
kuanzisha ukoo wa kizazi chenu we na mkeo hata baba yako asingeoa na kukupata we ukoo wake angeuanzishaje sasa hapi nawe unategana na wazazi sasa nawe unaanza kujenga NGOME yako ...upon hapo
Huu ni uzalilishaji Wa rangi,maumbile,wao waje kwetu wakute bagamoyo tumeweka ngurue na sura zao au mbuzi sizani kama watafurai mwisho wanune au wakalalamike wameonew
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.