muhongo anafuata amri toka juu jamani muwe japo na uelewa usiohitaji hata kwenda chekechea watu wazima mnashindwa kufikiri kwani muhongo ndo mwenye mamlaka ya kutoa ardhi kwa maslahi ya umma si amri kutoka kwa rais muwe na mawazo chanya kidogo si au kukua kwa habari ndo tatizo si kila jambo nila...
Mkuu huwezi kubashiri hata kidogo labda uwe unazijua btch code zinazofatia badala ya zile za nyuma na pi machine ikianza kukadiria namba mpya basi zifanane na zako ambazo ulizibashiei japo ni kitu kigumu sana inahitaji hesabu za kiwango cha juu sana hasa kama ulisoma kidogo hesabu za prblt...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.