Recent content by Mziray.Jr

  1. Mziray.Jr

    WARAKA: Maaskofu Katoliki waonya uminywaji wa demokrasia na uhuru wa vyombo vya habari nchini

    Naona waraka unakula vyuo vya kikatoliki nchini. Mpaka sasa zaidi ya taasisi 10 za kikatoliki zimefungwa. Siasa za visasi zinaathiri sana jamii haswa ya wanyonge wasio na Plan B. Mungu wasaidie viongizi wetu wawe na hekima hata robo tu kama suleiman. Viva Tz
  2. Mziray.Jr

    Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

    Na ukiona used utegemee X-wake watakuwa wageni wenu .
  3. Mziray.Jr

    Lissu anafanya siasa za maji taka

    Wenye siasa maji taka ni wanaotumia dola kukandamiza upinzani na democrasia,wanaonunua madiwani bei nafuu,wasiojua kuna kutofautiana kifikra,wanaotutenga kwa dini zetu makabila na kanda,wasiojua siasa sio uadui,wasiopenda watanzania wapate habari sahihi. Nao ni ficiemu.
  4. Mziray.Jr

    Sikuwa shabiki wa Mayweather ila ubaguzi aliofanyiwa UK nahamia team yake

    Uliposema tu black mwenzangu na ww umeingia kwenye ubaguzi mkuu....ubaguzi wa rangi ni broad term[emoji2][emoji2]
  5. Mziray.Jr

    Hotspot ya halotel kwenye iphone

    Nashukuru pia mkuu,hii kitu imekuwa msaada kwangu pia.Ahsante sana!
  6. Mziray.Jr

    Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo anashikiliwa na Polisi, anyimwa dhamana

    Uhuru wa kuwasiliana umekanyagwa sana tz na katiba kwa ujumla haifuatwi hata ibara moja !! Nchi inaenda kwa matakwa ya mtu tu na anachofikiri ni sahihi kwake hata kama anavunja katiba! ...Tunaanza kusahau utawala wa sheria taratibu kila kukicha....
  7. Mziray.Jr

    Harusi ya mtoto wa raisi wa Nigeria, wageni waalikwa wapewa iphone 5 {Gold Plated} kilammoja

    Jamaa wametia fora!...Sema haileti pesha sana sababu ni wazi kuwa ni kodi za wadau wanaovuja jasho.sio ishu ya hatare sana,labda angetoa mkulima wa kilimo kwanza!
  8. Mziray.Jr

    Kauli ya JK kuhusu CCM yaibua mengi maswala

    Ccm ife mara ngapi?!.....it's alredy dead! Ilale mahali inapostahili kuzimu!
  9. Mziray.Jr

    23rd nov P-Squire, Vinega, Anaconda, na prof Jay kuzika utawala wa Show za Cloudsfm

    Wataisoma sana Bauz entertainment,juzi wamezalilika kuliko maelezo!..
Back
Top Bottom