Recent content by mzigo_van_lee_molla

  1. mzigo_van_lee_molla

    Hana bikra hana mtoto ,muuwaji huyo.

    Agiza windhoek nakuja kulipa
  2. mzigo_van_lee_molla

    Nawezaje kupata location ya mtu kwa simu

    Ila naona hakuna aliyekupa jibu halisi woote wamecoment tu ila kuna apps kadhaa za kufanya hiyo kazi mosi kuna znazochwav kwa kutumia push locks ambaxo hizi ata mtu mwenye simu ya kitochi ukimpigia au ukimtext moja kwa moja unajua aliko nearby na mnara ambao signal zake znatokea piah kuna apps...
  3. mzigo_van_lee_molla

    Tazama baadhi ya mapungufu yaliyojitokeza katika majina ya ajira za Ualimu yaliyotolewa. Jina la 'ABADALLAH LEONARD SHONDE lajirudia mara 196

    Nasikia katika ajira 13800 zilizosemwa na mh.raisi ktka kammpeni hazijatimia... Nikafanya uchunguzi kidogo kwa kuangalia zile pdf zipo 196 na kila moja iko na majina avrg 45 hivyo kufanya idadi ya waajiriwa wote kuwa 8820-- hadi 9 elfu Pia kuna majina yaliyo appear kwa nara nyingi. Hivyo kuna...
  4. mzigo_van_lee_molla

    Tazama baadhi ya mapungufu yaliyojitokeza katika majina ya ajira za Ualimu yaliyotolewa. Jina la 'ABADALLAH LEONARD SHONDE lajirudia mara 196

    Ni kweli ila nmemua tu ku.... Tamiccm wamentia hasira tu watu wamepoteza wamejutumabkuhusu hii elimu alafu bdae serikali inaleta blaa blaa na maisha ya watu
  5. mzigo_van_lee_molla

    Tazama baadhi ya mapungufu yaliyojitokeza katika majina ya ajira za Ualimu yaliyotolewa. Jina la 'ABADALLAH LEONARD SHONDE lajirudia mara 196

    Amana haifiki hiyo. Acctl lipo kama mara 196 hivi maana liko kila page sema tu nmeamua kuinang tamiccm
  6. mzigo_van_lee_molla

    Tazama baadhi ya mapungufu yaliyojitokeza katika majina ya ajira za Ualimu yaliyotolewa. Jina la 'ABADALLAH LEONARD SHONDE lajirudia mara 196

    Mwl Abdallah leonard shonde aibuka kidedea Kwa Kuorodheshwa Mara 3233,katika ajira Mpya Ni mwalimu wa kwanza kupendekezwa zaidi na Tamisemi Tangu Tanzania ipate Uhuru mwaka 1961[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nmeinanga tu japo ni makosa ya mtu wa ms-exl
  7. mzigo_van_lee_molla

    Lepricate des veras

    Je ni jambo gani linalotosha kumlipiza kisasi mwanamke aliyekusaliti..... A.Kumpa mimba B... Mengine endeleza..
Back
Top Bottom