Facebook Inadanganya Watu asema Pelosi. Spika wa bunge la Baraza la wawakilishi United States, ambae ni kiongozi wa tatu ngazi ya juu Marekani baada ya Rais, Makamu, kisha yeye. Kulingana na gazeti la Los Angeles Times May 30, Spika Nancy Pelosi alisema hayo kuhusiana na video yake iliofanyiwa...