Recent content by mzeelapa

  1. M

    Viongozi wengine wa kijeshi wa Iran wameuwawa na IDF

    Kwa hiyo Raia na watoto wa kipalestina ni viongozi na ndio anaowakusudia.
  2. M

    Huwezi kutoboa maisha kwa betting

    Kubet ni kamari sawa na kamari nyingine, na ni dhambi kwa dini zote isipokuwa wahubiri wanaogopa kukemea kwa vile wataingilia maslahi ya watu. Ni uraibu fulani ukianza ni vigumu kuacha ingawa kuna waliojitambua na kuacha kabisa.
  3. M

    Scania Marcopolo za mwendo kasi zimefika!

    Scania ni imara itadumu muda mrefu kuliko haya mengine ambaya ni kama disposable. Bora abiria wawe na nidhamu.
  4. M

    Nini chanzo Biashara ya mabasi kufeli?

    Biashara ya mabasi ni biashara ya msimu. Kipindi cha sikukuu, wiki end ndefu, msimu wa wanafunzi kutoka na kwenda shule ndio inakuwa nzuri. kwa hiyo matajiri wajanja hutumia fursa hizi. Kitu kingine ni huduma nzuri na wafanyakazi wanaozingatia customer care. Lakini pia ni ku keep standard ya...
  5. M

    Inawezekanaje gari moja ikawa na number plate zaidi ya moja?

    Mbona siku hizi gari linabadilishwa bodi toka old fashion kuwa new model? Garil inabadilishwa shape ya mbele na nyuma na zinawekwa taa za Prado toleo jipya.
  6. M

    Kwanini wadada wa kiafrika wengi mnachukia asili ya nywele zenu ? mmekazana na mawigi, weaving, rasta, n.k. Please acheni kujichukia, love yourself.

    Kuna wakati naona jamii imepoteza mwelekeo kuhusu nywele. Wanapoteza asili yao. Kwa mfano unakuta mtu mzima mwanamme amesuka Rasta, amesuka tu akijiona anapendeza na hajui hata asili ya msuko huo na kwanini au inaonesha utamaduni gani. Wakati tunaendelea kuwasema wanawake bado ipo midume mizima...
  7. M

    Ushauri: Ili kuwahi kufika Mwanza ktokea Dar es Salaam panda SGR (Dar-Dom) malizia na basi

    Na wenye mabasi yanayokwenda kanda ya Nyanda za juu kusini wajiongeze pia. Mabasi yao mengine badala ya kuanzia DSM yaanzie Moro
  8. M

    Ushauri: Ili kuwahi kufika Mwanza ktokea Dar es Salaam panda SGR (Dar-Dom) malizia na basi

    Ufike Dodoma ulikute basi unalotaka kupanda lipo, unaweza kushtukia unakuja kusubiri kupanda basi uliloliacha DSM saa 12, wakati ulippondoka kwa hiyo SGR, sijui utakuwa umepunguza nini.
  9. M

    Katarama kapiga tena kwenye mshono!

    Hivi siku hizi mabasi yameruhusiwa kuweka ngao? Au uhuru wa manyani?
  10. M

    TRA inazalisha mabilionea wengi kupitia wafanyakazi wake

    Simple...chemsha maharage, chemsha viazi vitamu, chemsha mayai, changanya vyote halafu ule.
  11. M

    Natamani kila mpangaji angekuwa kama nilivyokuwa mimi

    Vibaka , Kipindupindu na malaria vitamfuata mwenye nyumba
  12. M

    Rais Samia achangia mamillioni ya pesa taasisi ya profesa Jay Foundation, atoa maagizo mazito kwa Wizara ya Afya na Muhimbili

    Paragraph ya kwanza napotezea. Paragraph ya pili na ya tatu uko sawa na juhudi zinaendelea. Paragraph ya mwisho ...ni sahihi hatuna madaktari bingwa wa figo, moyo nk?
  13. M

    Je, unajua ukiwa na Tsh elfu 30 tu unaruhusiwa kwenda kuomba escort ya polisi ikupeleke mpaka unapoenda?

    Miaka ya sabini wahasibu na watu binafsi walikuwa wakiporwa fedha walipokuwa wakienda au kutoka benki. Na matukio mengine yalikuwa fake. Kwa wakati huo Sh.20,000 ilikuwa ni mishahara ya taasisi nzima au mauzo ya wiki na zaidi. kuona hivyo serikali ikatunga sheria hiyo kwamba mtu yeyote akiwa...
  14. M

    Mradi wa SGR lot no 4, YAPI MERKEZ yaanza kufunga virago, inasemekana ni baada ya serikali kukosa fedha za kuwalipa

    Wazungu wanakwenda likizo kwao kwa hiyo kazi hazitaendelea. Wafanyakazi wanatakiwa kuondoka site wakale sikukuu makwao na kama wamelipwa mishahara miwili basi ni sahihi mwajiri lazima akulipe hata kama uko likizo. NSSF zinalipwa kila mishahara inapolipwa hivyi hilo sio tatizo. anaetakiwa kudai...
  15. M

    Israel - Marekani: Ipi siri ya uhusiano wao usiochuja?

    Simba Vs Yanga. Waislam wanaona Ukristo sio dini sahihi na Wakristo wanaona Waislam sio dini sahihi kila mmoja anataka mwingine aangamizwe kabisa. Kwa vile Wapalestine wengi ni Waislam na Waislam Duniani kote wanasapoti Palestine juu ya ardhi yao basi hawa Wakristo wanaisapoti Israel kwa chuki...
Back
Top Bottom