Recent content by Mzee wetu

  1. M

    JamiiForums Tanzania China destroys 6 tons of illegal ivory in push to protect African elephants!

    Wachina wamekuwa na teknologia kubwa ya kuiga na kutengeneza vifaa mbali mbali, je wameshindwa artificial Ivory kwa ajili ya vinyago vyao au artificial ni kwa ajili ya AFRICA TU?
  2. M

    JamiiForums Tanzania Njia rahisi ya kusahau shida zako.

    Hii ni dawa kwa mtu anaevaa viatu kwa mara ya kwanza kwani atakuwa anafurahia kuingia ktk ulimwengu mwingine. Kwa aliyezoe viatu, hii itakuwa shida nyingine mpya.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Huyu nitamwita shemeji!!!!!!!!!!!!!!!!

    Jamaa wawili mafariki sana walikuwa na tabia ya kuchangia wanawake, mmoja akishampata anamtaarifu mwezie yule pale tayari na mwezie anatia jitihada mpaka anampata na haya ndio yakawa maisha yao. Mwisho wa siku mmoja wapo kanogewa kati ya wale wanawake waliokuwa wakiwachangia kimapenzi. Je huyu...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Kwani ukubwa wa makalio ni ugonjwa jamani??

    Mzee lazima awe na wasiwasi kwani wahitaji wa makalio makubwa wameongezeka, mhakikishie usalama wakeeeeeeeeeeeee. :A S-heart-2:
  5. M

    JamiiForums Tanzania Hivi Tanzania tunajivunia nin?

    Kiuwa na viongozi wanaojua kwa dhati matatizo ya watu wake, lakini wanashindwa kuyatekeleza kwa makusudi kabisa na kujali maslahi yao binafsi.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Just to say hero jf members

    MGENI NAPIGA HODI NAOMBA NAFASI NIPEWE ILI NIPATE TOA MICHANGO YANGU. NAWATAKIA IDD NJEMAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA MZEE WETU. :msela:
Back
Top Bottom