Huyu nitamwita shemeji!!!!!!!!!!!!!!!!

Mzee wetu

Member
Jul 31, 2011
6
2
Jamaa wawili mafariki sana walikuwa na tabia ya kuchangia wanawake, mmoja akishampata anamtaarifu mwezie yule pale tayari na mwezie anatia jitihada mpaka anampata na haya ndio yakawa maisha yao.
Mwisho wa siku mmoja wapo kanogewa kati ya wale wanawake waliokuwa wakiwachangia kimapenzi. Je huyu wa pili atamtambua yule kama shemeji yake kweli?
 
Kwakuwa sio utamaduni wala sio maadili hawa hawawezi pewa nafasi ktk kamusi yetu ya kiswahili, labda kwa akina Obama!!

Jamaa wawili mafariki sana walikuwa na tabia ya kuchangia wanawake, mmoja akishampata anamtaarifu mwezie yule pale tayari na mwezie anatia jitihada mpaka anampata na haya ndio yakawa maisha yao.
Mwisho wa siku mmoja wapo kanogewa kati ya wale wanawake waliokuwa wakiwachangia kimapenzi. Je huyu wa pili atamtambua yule kama shemeji yake kweli?
 
Hizo ni presha zenu tu mbona mbunye haina makombo! wanaendelea kuwa mashemeji kwani ubaya uko wapi? shida wakiendelea na mchakato ndio inakuwa soo
 
Back
Top Bottom