Jamaa wawili mafariki sana walikuwa na tabia ya kuchangia wanawake, mmoja akishampata anamtaarifu mwezie yule pale tayari na mwezie anatia jitihada mpaka anampata na haya ndio yakawa maisha yao.
Mwisho wa siku mmoja wapo kanogewa kati ya wale wanawake waliokuwa wakiwachangia kimapenzi. Je huyu wa pili atamtambua yule kama shemeji yake kweli?
Mwisho wa siku mmoja wapo kanogewa kati ya wale wanawake waliokuwa wakiwachangia kimapenzi. Je huyu wa pili atamtambua yule kama shemeji yake kweli?