Recent content by mzee waukweli

  1. M

    NEC wanajitekenya wenyewe na Polisi

    Tutasimama mita 100 kwa kutumia sheria iliyopo hatukurupuki wezi wakubwa.
  2. M

    UKAWA mbinu yao kubwa ni kujaza mafuriko kwenye mikutano

    Na nyie mbinu zenu ni kuzomewa na wananchi kila kuchwao poleni kazi mnayo mwk huu.
  3. M

    Maswali tata kifo cha Mchungaji Mtikila

    Inaonekana wwe una utaaramu na mambo ya ajali labda ungetuambia imekuwaje na sijui swali lako unataka ujibiwe na nani nenda police kibaha utoe ushahidi utakuwa umesaidia.
  4. M

    Orodha ya kauli za wanaccm kwa mh. Lowassa

    Malipo ni hapa hapa duniani mungu yupo pamoja nasi malofa.
  5. M

    Bosi wa kampuni ya UDA, Robert Kisena kukamatwa

    Atakamatwa baba rizi akiondoka madarakani.
  6. M

    Taasisi ya Kiislam yatoa tamko dhidi ya Lowassa na Gwajima, kuhusu Uchaguzi Mkuu 2015

    Acha uongo na uchonganishi wwe huna haya mchanganishi mkubwa weka uthibitisho huna hoja kaakimia.
  7. M

    CCM: Magufuli yupo tayari kwa Midahalo; tuna kila dalili ya Ushindi

    Tangia lini mkakimbilia mdahalo sherehe muandae wenyewe na wageni mmealika wenyewe na cm mmepanga kupokea za watu wenu nani ashiriki ujinga wenu tunatangaza sela kwa wananchi nyie endeleeni na uzuzu wenu wananchi wamejitambua na mdahalo sio lazima mbona jk alikubalika enzi zake na alikataa...
  8. M

    Picha: Magufuli atinga jikoni kusonga ugali

    Na bado mpka mboga atachambuwa tu.
  9. M

    Samia: Serikali ya Dk. Magufuli itanunua meli tano

    Aliahidi jk kashindwa magufuli na mv dar es salaam mbovu bil 8 hatuna tena imani na hawa watu.
  10. M

    Yaliyojiri: Mazishi ya Mohamedi Mtoi, Lushoto - Tanga

    Huna hoja nyamaza mbowe na salumu mwalimu wanatosha ulitaka wafanye kama mkwele na waende wote alafu kampeni atafanya nani ?
  11. M

    Umoja wa Ulaya (EU) waionya Tanzania juu ya ufisadi wa Lowassa

    Acheni uongo kwani wao hawamjui muuwa tembo. lowassa na tembo wapi acheni ushabiki wa kinafiki kuhusu ujangili muulizeni jk .
Back
Top Bottom