Inaonekana wwe una utaaramu na mambo ya ajali labda ungetuambia imekuwaje na sijui swali lako unataka ujibiwe na nani nenda police kibaha utoe ushahidi utakuwa umesaidia.
Tangia lini mkakimbilia mdahalo sherehe muandae wenyewe na wageni mmealika wenyewe na cm mmepanga kupokea za watu wenu nani ashiriki ujinga wenu tunatangaza sela kwa wananchi nyie endeleeni na uzuzu wenu wananchi wamejitambua na mdahalo sio lazima mbona jk alikubalika enzi zake na alikataa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.