Recent content by MZEE WA TEMBO

  1. MZEE WA TEMBO

    Mtwara: Wananchi watangaziwa kutotoka usiku majumbani mwao

    Bongo ni vurugu mechi..nchi imekuwa kama haina rais wala uongozi imara kila mtu anafanya na anasema linalomvimbisha tumbo lake na familia yake. CCM WANATUTUMBUKIZA KATIKA KABURI HIVI HIVI TUNAJIONA.
  2. MZEE WA TEMBO

    Ujio wa obama Tanzania - ulinzi wake katika picha

    Hawa ni walinzi wa Kikwete wakionyesha ukakamavu na kuandaa mazingira mazuri na salama ya Prezdaa kutua. LMAO
  3. MZEE WA TEMBO

    Mtwara Tunagombania Kivuli..

    Mkuu madai ya wana mtwara si kuwa GESI NI YAO TU - USIPOTOSHE KAMA HUJUI ULIZA. Wanachotaka wana mtwara ni kuwa MTWARA IWE CENTRE YA GESI...mazao ya gesi ( Umeme etc) yatumike nchi nzima..na si kusafirisha gesi ghafi. KUULIZA SI UJINGA
  4. MZEE WA TEMBO

    Live updates: Mkutano wa Dr Slaa uwanja wa Kwaraa Babati

    Mzee wa Investments naona 24/7 unashinda JF, Nakutunuku nishani ya kushinda humu JF na kupambania chama chetu mfu.
  5. MZEE WA TEMBO

    Waraka maalum kwa wana Mtwara na kusini kwa ujumla

    Umepitwa na mda, serikali ipi ya kuiamini......hii ambayo inaahidi kila siku bila kutekeleza? AMKA WEWE
  6. MZEE WA TEMBO

    Kufilisika kisiasa kwingine kunatisha!

    Ungeandika na upande wako wa stori ya kilichotokea...maneno matupu na kulalamika unakuwa HUELEWEKI
  7. MZEE WA TEMBO

    Ni kweli nilikuwa mwenyekiti wa CHADEMA lakini sijawahi kuwa na kadi ya uanachama ya CHADEMA

    Hii ni ya kutupa kule---------------------->. watu tunaelekea kwenye UKOMBOZI , we piga domo tu.
  8. MZEE WA TEMBO

    Ya Kinana na siasa zetu za reja reja

    FBI wakimaliza kuchunguza ugai wa Arusha waje kulichunguza hili Jangili, haiwezekani liponyoke hivi hivi tu
  9. MZEE WA TEMBO

    Katuni: Bunge letu na dhihaka toka Kenya

    Ujumbe umefika
  10. MZEE WA TEMBO

    Katuni: Bunge letu na dhihaka toka Kenya

    Ujumbe umefika
  11. MZEE WA TEMBO

    Kava mpya za simu

    Kinana hachagui mkuu, huyu atakuwa ndama....
  12. MZEE WA TEMBO

    Kava mpya za simu

    Duh, Kinana akiwaona tembo wa dizaini hii...wallahi wiki tu kawamaliza teh teh Safari_ni_Safari
  13. MZEE WA TEMBO

    Kava mpya za simu

    hapo juu ni kava na jinsi unavyoingiza chaji
  14. MZEE WA TEMBO

    CCM wamekubali Katibu wao mkuu Kinana akiachwa tembo watateketea

    KINANA should be in prison sasaivi. Tatizo ni kuwa jela imejengwa maalum kuingiza Maskini na wapizani wa CCM. 2015 wapinzani wakichukua nchi wanatakiwa waifutie usajili CCM na kuwapandisha mahakamani wahusika wote wa wizi/ufisadi/uhujumu uchumi/dhuluma/uonevu/matumizi mabaya ya madaraka etc
Back
Top Bottom