sioni sababu ya kuficha id yangu humu ndani, mm ndiye mshindi wa migombani kata ya segerea, wahuni wa ccm walikua wanatusumbua kila siku kuna tatizo tatizo mungu amesimama upande wetu wananchi.
naakika mapambano bado yanaendelea ya jana ni manyunyu tu wasubiri mvua yenyewe inakaribia.
cc@mwita...
Ni nani huyo? Au intarahame wameanza kukimbia vivuli vyao? Waliona dodoma ni mbinguni hawatarudi.
Kuna mpuuzi mwingine yule wa wasanii kweri wasanii wa tz mapunguani kwero km yule ndiye rais wao
Nyie moods acheni hizo, mnafuta coment yangu kisa nimemsema Zitto ni ex wa shonza ? Nyie kama vipi nipeni tu ban nijue nimefanya kosa lkn kwa utamaduni wa kipuuzi hivi hii sio tena ya kusema kwa uwazi bali ni sehemu ya kumpamba zzk
YAANI UNATAKA Ban CC? twende siasani tuone km utamaliza wiki ujaenda ban grocel. baba @v alikuja wiki 2 tu akapumzishwa mara 1. huku kuna machizi km faiza fox, Mamndenyi, MSALANI Ritz Lizabon MwanaDiwani a.k.a @nape na vichaa wenzao kibao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.