Kwanza nikupe hongera kwa kutambua changamoto zako maana hapo umesolve nusu ya hizo changamoto
Ila approach uliyotumia ndio umekosea, huwezi kutuma nusu ya boom lako nyumbani ukahisi unaweza kutatua hizo changamoto hapo ni kuendelea kujiingiza zaidi kwenye lindi la umasikini
Kama umeweza kama...
Uzi mzuri kabisa huu
Mm naulizia pia kama naweza pata eneo kwaajili ya shamba kuanzia hekari 10 nakuendelea katika sehemu hizi
1. Iringa
Kati ya mafinga na ipogoro
Kati ya ipogolo mpaka ilula
2. Pwani
Njia ya dar
Kati ya Kibaha mpaka chalinze
Kati ya Chalinze mpaka msata
Kati ya chalinze na...
Shukran sana ndugu katika hili ila naomba nisikukubalie kwa sasa kutokana na majukumu yangu binafsi ambayo yananifanya nisiweze kukupa ushirikiano timilifu. Ila muhimu pata muda zaidi ya kwenda kuijua biashara ya madini unayotaka kuifanya na eneo lipi litakufaa hii ndio itakuwa bora zaidi
Hongera sana kwa hili unaloliwaza, kwanza unatakiwa kutambua biashara ya dhahabu au madini sio kama nyanya au nafaka
Kwasababu
1. Unahitaji dealer license ya kukuwezesha kununua dhahabu na kusafirisha
Ambayo gharama ya leseni ni tsh 10M kwa mwaka
2. Unahitajika kuwa na ofisini kwenye masoko...
Ngoja nieleze na mm kisa kidogo hapa
Miaka sio mingi sana (2015+)
Baada ya kumaliza chuo hapa dsm nikapata ka intern hapa mjini maeneo ya mikocheni karibu na warioba. Sasa nilikuwa naishi Ubungo mawasiliano pale na hivyo nilikuwa napanda Balaji za pale mwenge kwenda mikocheni.
Siku moja mzee...
Moja ya mitambo mipya ya kushusha na kupakia makasha ukiwa katika hatua za mwisho kufungwa katika Bandari ya mtwara utakaokuwa na uwezo wa kuhudumia makasha 35 Kwa saa, mradi huo unatarajiwa kukamilika na kuanza kazi mwishoni mwa mwezi march 2023.
Kichwa kinajieleza, hapa ningependelea tuweke video, picha na hata maelezo yanayohusu miradi inayotekelezwa na kila hatua iliyofikia ili kujuzana wapi tumetoka, wapi tupo na wapi tunaelekea.
Kama ambavyo tunafanya kwenye ile thread ya Nairobi vs Dar es salaam.
Naamini kuna watanzania wengi...
Sijalazimisha ibada, hiyo anaweza toa kama msaada kituo cha watoto yatima, hospitali, kuona wafungwa, kuwalipia ada wenye changamoto n.k
Kwangu mm naamini zaidi mkono utoao ndio upokeao sio lazima upeleke kanisani
Kwa kuongezea
1. Punguza matumizi yasiyo ya msingi
Mfano pesa kiasi gani unatumia kwa mwezi kwenye bando, starehe, mavazi, chakula, na matumizi ambayo Hayao kwenye mipango yako
2. Ongeza vyanzo vya mapato kwa kuongeza uwekezaji, kuwa na mipango ya muda mrefu.
3. Mwombe Mungu, kuwa mtoaji, saidia...
Leo nimekaa na kutafakari sana kuhusiana na suala hili hasa ikichangiwa na baadhi ya video na clip nilizowahi kuona huko nyuma
1. Misri wameanzisha miradi ya kilimo cha umwagiliaji kwenye majangwa yao hivyo wanatarajia mwaka 2025 kuwa miongoni mwa wazalishaji wakubwa wa ngano duniani
2...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.