Recent content by mzee wa kijiwe

  1. M

    Saa ya ukombozi

    Eee Mungu watumie wakatholiki kuikomboa Tanganyika, waraka wa Kanisa umegusa sii tu Bandari, Bali madini, Loliondo, Bunge, Mahakama. Haijawahi tokea. Kwa mara ya kwanza kanisa la Tanzania limetikisa mihimili yote mitatu, Ukombozi wetu upo karibu, Waumini wa kilutheri ambao wanakubaliana na...
  2. M

    Ni wakati wa wazanzibar kutuchuna

    Subiri uchunwe
  3. M

    Wito Kwa Rais Samia, Usiingie Kwenye Mtego wa Udini Kwa Kukumbatia Maagizo ya TEC

    Hawa watu wasiosoma mkataba wanakimbilia kusaini ndio wanaotusumbua humu kwenye mitandao , hata msg hawasomi wao wanajua kubishana tuu
  4. M

    Ni wakati wa wazanzibar kutuchuna

    Tulieni hivyo hivyo, hakuna jinsi tutachunwa Hadi akili ziturudie, aliyewalaani amekufa, watu na akili zenu mnaikana Tanganyika mlifikiri mtakuwa salama? Mama wachune Hadi mifupa, ngedere sisi
  5. M

    Olengurumwa: Uhaini waliopewa akina Dkt. Slaa unatia doa taifa na taswira ya Rais

    Vipi mkuu, tumwalike Mungu aje kuamua huu ugomvi? Au tusubiri kwanza
  6. M

    Olengurumwa: Uhaini waliopewa akina Dkt. Slaa unatia doa taifa na taswira ya Rais

    Huu ugomvi naona tena Mungu akiamua ugomvi Kwa njia ile ile
  7. M

    Tuwape pongezi polisi kwa kuzuia nia ovu kwa kuwaweka sehemu salama wahusika!

    Wangezuia wasinge kimbilia mahakamani, wananchi wanahaki zote za kuiondoa Serikali yao madarakani muda wowote, wanapohisi viongozi wamelewa na wanaihujumu nchi
  8. M

    Olengurumwa: Uhaini waliopewa akina Dkt. Slaa unatia doa taifa na taswira ya Rais

    Maandamano sii kosa Kupindua serikali sii kosa, Serikali zinapinduliwa Kwa njia nyingi halali , maandamano halali yanaweza kupindua serikali kihalali, acheni kukariri
  9. M

    Olengurumwa: Uhaini waliopewa akina Dkt. Slaa unatia doa taifa na taswira ya Rais

    Maandamano sii kosa Kupindua serikali sii kosa, Serikali zinapinduliwa Kwa njia nyingi halali , maandamano halali yanaweza kupindua serikali kihalali, acheni kukariri
  10. M

    Kikosi cha Rapid Force (UVCCM) kivunjwe

    Hili ndilo kundi la Wagner ndani ya Tanzania, wanapewa Kila kitu na Serikali , fedha , Magari ulinzi, silaha nk. Siasa za Kirusi ndani ya CCM sii jambo jipya, Miaka 6 ya Magufuli kundi hili la Wagner lilipata nguvu ya kipekee sana, Kila wanapohisi upinzani unapata nguvu, CCM huwapa uhuru...
  11. M

    Uwepo wa Wagner Group Africa ni tishio kwa usalama wa nchi zetu

    Hili ni tishio jipya la usalama Kwa nchi zetu za Africa. Uwepo wa Wagner group Africa kunapelekea mapinduzi ya kijeshi kwa Serikali halali za Africa haswa zile zisizo egemea upande wa Urusi. Uwepo wa Wagner group Africa kunaibua njia mbadala Kwa wanasiasa wetu wenye uchu wa madaraka kuchukua...
  12. M

    Olengurumwa: Uhaini waliopewa akina Dkt. Slaa unatia doa taifa na taswira ya Rais

    Hii ni mbinu ya kuwatisha CDM, ukweli IGP hana mpango wa kuwafungulia mashitaka kina Slaa maana kwanza hakuna hoja yenye mashiko, anachofanya ni very psychological, anatuma ujumbe Kwa Mbowe na Lisu indirectly, nafikiri ujumbe umefika, angalia wiki hizi mbili, wapo wapi kina Mbowe na Lisu...
  13. M

    VIDEO: Hii ya kutandika Biblia chini ili marehemu apite imekaaje, Mwenye uelewa na hili pitia hapa

    Nimepanda boda boda leo, kwenye stories kaniambia sababu ya kifo Cha Rais ni pale alipogusa utukufu wa Mungu, kwamba tulimsifu kupitiliza, sasa hii ya kusigina Bible ni kubwa jingine hilo
  14. M

    Azam yazindua tamthilia ya kichochezi mauaji ya Wakristo, Serikali iko kimya

    Mbona ni story ya kweli soma history ndugu, sawa na Sultan
Back
Top Bottom