Mkazi wa Majengo wilayani Kahama mkoani Shinyanga amejinyonga kwa kutumia kipande cha chandarua usiku wa kuamkia leo, Disemba 11, 2017 akiwa kwenye chumba chake cha kupanga kwa kile kinachodaiwa kuwa ni ugumu wa maisha.
Kwa mujibu wa kaka wa marehemu Said Ndago amesema kuwa mdogo wake ambaye...
Wamesalimika vipi wakati wao ndoo walikuwa wanahakiki serikali ya ajabu sana hii huyu mama nae wameanza kuwa zezeta kama lile lizee lenye upara kama dubwasha
Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan amewaonya watumishi wenye vyeti feki waliosalimika akisema awamu ya pili inakuja.
Akizungumza katika ufungaji wa kilele cha maadhimisho ya siku ya maadili duniani kwenye Viwanja vya Nyerere mjini hapa jana, alisema kutokana kutoridhishwa na utendaji kazi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.