ubongokid
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 2,030
- 3,908
Wadau Amani kwenu;
Natafuta kazi ya uhausiboi Nina uwezo wa kufanya yafuatayo:
Mahitaji yangu ni kama ifuatavyo:
Nimechoka kukaa kijiweni mwaka wa tatu huu sioni dalili za ajira za kipedeshee naona nijaribu huko
Nitahitaji mkataba wa miezi sita sita.
Asante
Natafuta kazi ya uhausiboi Nina uwezo wa kufanya yafuatayo:
- Ninauwezo wa kufundisha watoto wanapotoka shule masomo mbalimbali ya shule kwa lugha ya kiingereza kuanzia primary mpaka sekondari kwani mimi ni mwalimu by profession.
- Nina uwezo wa kufundisha watoto kompyuta na nitakuja na laptop yangu na kuwafundisha hapo nyumbani kwa sababu mimi pia ni mtaalamu wa IT
- Nina uwezo wa kuendesha gari kama una gari nitawapeleka watoto shule na kuwachukua na vile vile kumpeleka mkeo sokoni akanunue mahitaji
- Nina uwezo wa kupika vyakula mbalimbali vya kawaida
- Nina uwezo wa kufua,kupasi
- Nina uwezo kufanya gardening na landscaping
Mahitaji yangu ni kama ifuatavyo:
- Kwanza uwe na servants house inayojitegemea,makazi yako yawe maeneo ya masaki,mbezi beach au maeneo kama hayo ya high end
- Mshahara ninaotaka ni wa shilinging 120,000 tu
- Kula itakuwa ni juu yako
- Utanipatia bima ya afya ya NHIF
- Mshahara wangu utanilipa kupitia bank akaunti kila mwezi
Nimechoka kukaa kijiweni mwaka wa tatu huu sioni dalili za ajira za kipedeshee naona nijaribu huko
Nitahitaji mkataba wa miezi sita sita.
Asante