Recent content by Mzee Mamvi

  1. Mzee Mamvi

    Hello Hello naomba mnipokee

    Toa vitu Acha udodoma
  2. Mzee Mamvi

    Ila kuna namna Wanaume mnapenda sana matatizo

    Siku zote mwanaume ni tatizo kama hujui muulize mama yako Alafu hakuna tatizo kwa mwanaume kama ukimwelewa
  3. Mzee Mamvi

    Dilemma: Je, nimwandikishe jina lake kwenye mali zangu au nikubali tuachane?

    Mkuu mimi sina ushauri wa dhati. Si busara kumwandikishia mpenzi wako mali zako na usilinde uhusiano. Usimpende sana na furahi kuumizwa. Fanya hivyo.
  4. Mzee Mamvi

    Jimbo la arusha mjini na monduli yagawanywe

    Kigongoni Napajua kona ya kwa babu samuge
  5. Mzee Mamvi

    Hivi watu mnaokaa uswahilini mnasavaivu vipi kipindi hiki cha joto kali?

    Tupaone kwako kwanza ndipo tujadili Kama hutojali
  6. Mzee Mamvi

    Ni sehemu gani ya nchi, mji au Kijiji ulifika mpaka ukajiuliza watu waishio huko walifuata nini?

    Kijiji kinaitwa Oltukai kipo Kata ya Esilalei wilaya ya Monduli Kuanzia kimeanzishwa hawajawahi kutumia maji ya bomba na kunafikika kipindi cha kiangazi tuu kwa kupitia mkoa jirani wa Manyara
  7. Mzee Mamvi

    Mwenyekiti Mbowe, CHADEMA kuna biashara gani?

    Chadema ni 🔦 kwenye mambo yake nyeti Itifaki imezingatiwa
  8. Mzee Mamvi

    Simulizi ya kijasusi: Shetani Rudisha akili zetu na mke wangu

    Nakubali sana maandiko yako Usituache please hadi mwisho
Back
Top Bottom