LGA Siasa imezidi utaalamu na hili linasababishwa na Njaa maana LGA kuna Njaa sana MaDC na MaDED wengi hawana weledi zaidi ya uchawa ili wasitenguliwe.
ERB,AQRB fanyeni kazi yenu huki LGA panawaumiza wataalam kisa Siasa
Upo kazini unatuhamasisha na posho mlima ushapewa kwa huu uhamasishaji.
Ila apo TCRA mna lunch Kali Kuna siku niliizamia nikapiga ubwabwa na samaki mkubwa sana😀
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.