Recent content by mzee alpha

  1. mzee alpha

    Series (Special thread)

    Asante bharia mwenzangu lakn me mshamba sana kweny kudownload kupitia torrent nipe elimu kama hutojari
  2. mzee alpha

    Series (Special thread)

    Wakuu link ya the bureau naombeni jaman bt low size file maana me mtanzania wa hali ya chini
  3. mzee alpha

    Leo ni Siku ya Mabaharia Duniani (Seafarers Day) Tarehe 25/06/2020

    Kwa kukadilia si chini ya dora ngapi kima cha chiki na cha juu
  4. mzee alpha

    Leo ni Siku ya Mabaharia Duniani (Seafarers Day) Tarehe 25/06/2020

    Imagane freasher kama mm natoa wapi dola buku ya kumpa agent anitaftie meli ili nirud nifanye oral exam kwaajr ya coc
  5. mzee alpha

    Leo ni Siku ya Mabaharia Duniani (Seafarers Day) Tarehe 25/06/2020

    Hata dmi pia haija muelekeo. Ukimaliza unaanza kuzubaa mtaani tu. Hakuna ata cadetship program
  6. mzee alpha

    Leo ni Siku ya Mabaharia Duniani (Seafarers Day) Tarehe 25/06/2020

    Sasa mkuu unadhan nini kifanyike kwetu
  7. mzee alpha

    Leo ni Siku ya Mabaharia Duniani (Seafarers Day) Tarehe 25/06/2020

    Shida ni mifumo tuu ya utendaji na uwajibikaj.
  8. mzee alpha

    Leo ni Siku ya Mabaharia Duniani (Seafarers Day) Tarehe 25/06/2020

    Shida ni mifumo tuu ya utendaji na uwajibikaj.
  9. mzee alpha

    Leo ni Siku ya Mabaharia Duniani (Seafarers Day) Tarehe 25/06/2020

    Kwakweli seafarers wa tanzania tuna safari ndefu sana na sijui tutafika kama wenzetu walipo. Wakenya wanakuja kusoma bongo lakn tukijilinganisha nao wao wako vizur kuliko sisi
  10. mzee alpha

    Leo ni Siku ya Mabaharia Duniani (Seafarers Day) Tarehe 25/06/2020

    Mkuu kwakwel ww ulipaswa uwe mwenyekiti wa TASU. Me niko mwaka wa mwisho DMI nachukua uhandisi meli pale but nimekuwa nikifatilia wanaharakati wa haki za mabaharia na kwamala yakwanza nmekuona ww
  11. mzee alpha

    Leo ni Siku ya Mabaharia Duniani (Seafarers Day) Tarehe 25/06/2020

    Mwaka huu ilikuwa hapa dar. Lakini pia mabaharia hawana mshahara elekez. Ebu imagine mwanza kwenye kampun kubwa ya mzee flan mkurya chief officer anakula 500k ebu jiulize. Oiler na sailor's wa kawaida watalipwa kias gan
  12. mzee alpha

    Leo ni Siku ya Mabaharia Duniani (Seafarers Day) Tarehe 25/06/2020

    Siku ya mabaharia kwangu mm naona ingetumika kwanza kufungua fursa na uelewa kwa mabaharia wachanga kwani wengi wako dmi lakn hawajui wakimaliza wanaenda wapi, kuwekwa mazingira mazuri ya upatikanaj wa kazi ja kuondoa gharama za agent fee ili kupata kazi nje ya nchi
  13. mzee alpha

    Ship Chartering - Biashara ya ukodishaji meli

    Natamani sana nitumie elimu ya dmi kuisaidia jamii yangu ya kitanzania.
  14. mzee alpha

    Nataka kuwa nahodha wa meli, naomba ushauri wenu

    Jiandae kama unaugaulu mzr diploma inafaa na isingekuwa vorona coz zngeanza mwez wa 10
  15. mzee alpha

    Sakata la Ugomvi baina ya RC Gambo na Mkurugenzi wa Jiji Arusha lashika kasi

    Hapa ndo naona wazi kwamba wahenga hawakosei ##lisemwalo lipo##
Back
Top Bottom