Sasa tukiamua kuboresha kilimo bila miundombinu hizo mbolea majembe vitafikaje huko kwenye mashamba na hayo mazao yatafikaje sokoni
Lazima ujue "without market its like no production" sasa kama hatuna miundombinu ni sawa na kuwa hatuna kilimo
Chama cha Demokrasia na maendeleo Chadema ndio chama kikuu cha upinzani Tanzania pia ndio chama cha pili kwa kuwa na wafuasi wengi wabunge na madiwani kikiongzwa na Chama Cha Mapinduzi CCM.
Katika kipindi cha miaka ya 2010 - 2015 CHADEMA kilikimbiliwa na kundi kubwa LA vijana waliojiunga kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.