Ndugu natarajia kuvuna nyanya zangu kwa kipindi hiki cha January natafuta soko nzuri kwa tenga kuanzia 50 Na kuendelea nakuletea ulipo kikubwa maelewano
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari ya asubuhi wapendwa khari ya mwaka mpya ndugu natarajia kuvuna nyanya zangu shamban ili kuondoa ukata wa January natafuta bei nzuri ya nyanya kuanzia tenga 50 Na kuendelea katika kipindi cha mwezi huu ningependa kujua bei nzuri ikoje Na eneo gani naweza peleka mzingo wangu inapatikana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.