Recent content by Mzalendo39

  1. Mzalendo39

    Rushwa ya trafiki sasa ni bila kificho, yakijiri mpo?

    Hiyo ni kawaida mshahara hautoshi, na bidhaa zimepanda bei karibia mara mbili
  2. Mzalendo39

    Kuona Maiti ikizikwa na Manispaa kumenitafakarisha sana maisha yetu hapa duniani

    Pole sana, ukute hayo majeneza yarirudishwa sokoni
  3. Mzalendo39

    SoC02 Ujue ugonjwa wa shinikizo la damu

    Asante kwa elimu nzuri
  4. Mzalendo39

    FT: Uwanja wa Mkapa: Yanga 0-2 Vipers, Mwananchi Day (Agosti 6, 2022)

    Waulize Tp Mazembe waliyakanyaga
  5. Mzalendo39

    Ushawahi kupata mwenza humu JamiiForums?

    Mimi bado natafuta
  6. Mzalendo39

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Saudia sio wachovu kihivyo angalia record Yao hapa
  7. Mzalendo39

    Ubatizo wa maji mengi vs ubatizo wankunyunyiziwa upi ni sahihi? Kipaimara asili yake nini? Je Biblia inatambua Kipaimara?

    Hakuna cha ubatizo wa moto wa maji cha muhimu hapa dunia tonge liende kinywani
  8. Mzalendo39

    Ajali ya Basi la Arusha Express na Lori yaua watano Dodoma

    Ajali muda huu maeneo ya Mzakwe (Dodoma)basi la Arusha Express likitokea Arusha kueleka Dodoma. Tusubiri mamlaka husika zitatoa taarifa za vifo na majeruhi ==== Ajali imetokea mchana huu eneo la Veyula mjini Dodoma. Basi kampuni ya ARUSHA express ikitokea Arusha kwenda Mbeya, Imegongana uso...
  9. Mzalendo39

    Baadhi ya Wanafunzi mwaka wa pili na watatu tumefutiwa allocations za mkopo na mpaka dakika hii hatujapata boom

    Kwa huo uandishi heri usipewe huo mkopo, nimeamini kuna vyuo na Chuo cha mipango Dodoma
Back
Top Bottom