Kuna watu bado hawajapata mgao wa weekend,sasa bila kuweka password MEMBE, Uwezi draw kwa ATM sintashangaa mstari ukiendelea kuongezeka,wenzenu wanaongozwa na uoga na kukoseshwa usingizi na huyu MEMBE,hila tupeane michongo yakupost kwa malipo,natanguliza shukrani zangu za dhati