Hao trafiki wa Pwani ni moto sana, nakumbuka siku moja nipo na brother tunatoka mwanza kwenda Dsm, the whole jounery hatujapigwa mkono na tulikua makini lakini baada ya kuvuka Moro kuingia Pwani tulishimamishwa kama mara 4 na kote ilikua wanapiga maokoto ( kifupi zaidi ya mara tatu walikua...
Salam wadau,
Binafsi kwa namna moja au nyingine nimekua nikifuatilia updates kuelekea mashindano ya olympics huko Paris-Ufarasa.
Kwa kuanzia nimeona namna ambavyo team mbalimbali kutoka nchi tofauti tofauti zimeandaa vazi maalum kwaajili ya mashindano haya ambapo nchi za Haiti na Mongolia...
Serikali ya Mama inabidi iangalie upande wa EV na kuchukua hatua stahi pamoja na kutengeneza mazingira rafiki kwa walaji kuhamia upande wa umeme lakini nachelea kusema kuwa.....
Habari chief,
Nikirejea uzi wako hapo juu inaonesha unahitaji misingi ya game na elimu ya biashara angalau kutoka kwa mfanyabiashara mzoefu awe mentor ili kukupa experiance ya game. Binafsi nitachangia kidogo kulingana na uelewa wangu naamini itasaidiapo haha.
Umeandika kuwa umewahi kufanya...
Natamani kuandika kitu lakini sitaki kuwa keyboard warrior,
Pamoja na mazuri kiasi yanayoonekana lakini naamini nchi bado inaendeshwa kwa proaganda za miaka ya 80.
Vijana tukiamka tukawa taifa la leo tukatoka na kufanya maamuzi kuikumbusha hii serikali kuwa si ya chama x bali ni yawanchi...
Habari mkuu sana Paschal Mayala, binafsi nimesoma nikijitahidi kuelewa nakama ulivyotanabaisha hapo awali kwamba makala zako zina swali, maelezo na jibu tutatoa sisi ndugu wasomaji, pia nikishukuru kwa elimu ya awali kwamba kuna nchi za wenzetu wanahizo tozo za Redio.
Binafsi kwa hali iliyopo...
Swali zuri,
Kama nakumbuka vizuri niliwahi kusikia kwenye kipindi fulani cha DW TV, kuwa asili ya neno bodaboda ni nchini Uganda ambapo pikipiki zilikua zinatumika zaidi kusafirisha abiria kupeleka maeneo ya mipakani (border) au kuwahamisha toka mpaka moja kwenda mwingine ( border to border)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.