Weka ref ya utafiti uliofanywa pasi na shaka yoyote ya faida za bia ulizozionyesha hapo juu,nafikiri hilo la tumia akili yako ndio la maana kuwa ni mtego Wa za kuambiwa changanya na za kwako.
Inshu Sio kukopa Tanzania toka ilipoanza kukopa Mpka Leo ingekuwa mbali Sana Kuna Wakati unaona haina tofauti na kutokukopa tatzo uadilifu wa viongozi wetu Wa kiafrika wanaumaskini mkubwa Sana Wa kifrika hata ukope utajikuta ndokwanza unaharibu Zaidi Maisha ya watu,rai yangu ni tujikite zaidi...
Cut out sugar and carbs,hayo machapati Na wali tupia kule pia ucpende Kula ucku chakula Kizito ikiwezekana Kula tu matunda esp:watermelon .Halafu punguza frequence YA ulaji weka interval ya 8hrs baada ya mlo mmoja jitahd chai kunywa Saa nne asubuh,lengo Ni kucheza Na insulin maana inaleta shida...
Unajua vita hii ni kati ya mama hakimi na mkewe haitaisha salama ingekuwa kati ya mume na mke ingekuwa imeshaisha na ndomana inafurahisha wanawake wanapambana wenyewe.
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
CRDB broo ni wasanii tu walikuwa na ile kampeni yao ya mkopo riba 13% ndgu jana nimeenda wamebadilika wanasema 16% eti imebadilika tar 6 mwezi hawa watu ni wajanjajanja tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.