Naombeni ushauri, mke wangu alienda kwao kujifungua ila saiv ni mwezi wa tatu tokea ajifungue nahadi saivi hajarudi kwangu na ninahisi wazaz wake ndio wanamkataza asirudi, je nifanyeje?
Mimi ni mkazi wa CHANIKA dar, naomba ushauri ni nunue kisimbuzi kipi ambacho kinaendana na mazingira haya ya chanika kati ya hicho cha dishi na hicho kisicho na dishi? Naomba ushauri wenu kwanza!
Ok naomba kujua pia units za luku zinazotakiwa ziwe za kawaida kwa matumizi ya kawaida, zinatakiwa zianzie units ngapi na zisizidi ngapi na bei ya kila units kwa mtu huyo TANESCO inatuuziaje?
TANESCO NAOMBA KUJUA JE MIMI NILIYEKO MJINI NA NATAMANI TARIFF YANGU IPUNGUZWE ICE SAWA NA WALE WA R.E.A , JE UWEZEKANO HUO UPO AU HAUPO? NA KAMA HAUPO KWANINI?
Uko sawa ndugu ila wasiofikiri kwa mbali wanaona kama wanaonewa, licha ya foleni ila hata kwa issue ya usalama wao wanapokua jogging inatakiwa kusimamiwa kwa ukaribu na vyombo vya usalama. Tatizo uelewa na ubishi ndio unatukabili!
Uko sawa ndugu ika wasifikiri kwa mbali wanaona kama wanaonewa, licha ya foleni ila hata kwa issue ya usalama wao wanapokua jogging inatakiwa kusimamiwa kwa ukaribu na vyombo vya usalama. Tatizo uelewa na ubishi ndio unatukabili!
Anaefikiri kwa umakini na ukioanisha na hio picha ya jogging hapo utagundua kua kuna ulazma wa kupata kibali ili muweze kupatiwa kibali cha kupita barabara husika bika kusababusha foleni na msongamano wa vyombo vya usafiri na pia kwa usalama wenu ikiwezekana polisi au vyombo vya usalama kwa...
Mleta uzi kalamba ugoro kabla ya kuleta huu uzi. Huwezichanganya haya matukio nawili kwa uzi mmoja maana kila tukio limetokea katika mazingira yanayotofautiana. Acha kujenga hoja za kuichonganisha jamii na serikali.!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.