Mwanafunzi mwingine Dar auawa kinyama!

Mwanafunzi mwingine Dar auawa kinyama!

Wakati Akwilina akiuawa kwa kupigwa risasi akiwa kwenye daladala maeneo ya mkwajuni kinondoni jijini Dar, Feb 16 mwaka huu, mwanafunzi Shija Daudi Kasuku (20) wa chuo kikuu cha Elimu ya Biashara (CBE), Tawi la Dar, alidaiwa kuuawa kwa kusukumwa kutoka ghorofa ya tatu hadi chini.
front-Ijumaa.jpg
Shija aliyekuwa akisomea Diploma ya Biashara akiwa yupo mwaka wa pili chuoni hapo, alidaiwa kuuawa na mwanafunzi mwenzake kwa kile kilichosemekana kwamba ni wivu wa kimapenzi.
Alitupwa dirishani kutoka ghorofa ya 3 ingia YouTube global tv online utaona video dah inasikitisha mnoooo
 
Leo sijui umeandika vinini.sasa habari ya akwilina inahusianaje na hii yako? Visa viwili tofauti
Mleta uzi kalamba ugoro kabla ya kuleta huu uzi. Huwezichanganya haya matukio nawili kwa uzi mmoja maana kila tukio limetokea katika mazingira yanayotofautiana. Acha kujenga hoja za kuichonganisha jamii na serikali.!!!
 
  • Thanks
Reactions: Ok9
Alitupwa dirishani kutoka ghorofa ya 3 ingia YouTube global tv online utaona video dah inasikitisha mnoooo

aliyemtupa kashakamatwa au anaendelea na kula maisha na demu wake????
 
Leo sijui umeandika vinini.sasa habari ya akwilina inahusianaje na hii yako? Visa viwili tofauti
Series ya madent kupukutika,usiangalie subtopic angalia topic.


Mechanics ni topic,measurement ni subtopic japo wengi alikuwa hamlijui hili.
 
Leo sijui umeandika vinini.sasa habari ya akwilina inahusianaje na hii yako? Visa viwili tofauti
Hii nchi sijui kama kuna mtu aliyepata elimu na akaitumia katika fani yake.


Nimejiuliza saa, pengine mhariri wa hili gazeti ni kichaa au ana matatizo mengine. Au amefanya hivyo kuuza habari?
 
Shija Kasuku, pumzika kwa amani. 2014 tulikuwa wote pale waamuzi sec. Tangulia ndugu yetu, nyuma yako mbele yetu.
Mzima,samahani kuingilia mada naomba nisaidie details za waamuzi
Kuna dogo nataka aende hiyo shule,
Ila sielewi hata ilipo.
 
Alitupwa dirishani kutoka ghorofa ya 3 ingia YouTube global tv online utaona video dah inasikitisha mnoooo
Aliyemtupa ni nani mkuu?

Ndio hii habari nimeisikia kwamba mhusika bado yupo uraiani na anaendelea na masomo?
 
Ukifuatilia sn utakuta marehem katokea mkoani.
 
Huyo kijana alisukumwa na e baada ya kufumaniwa akiwa na msichana wa mwenzie ghorofa ya tatu CBE hostel hivyo ulizuka ugomvi mkubwa uliopelekea huyo kijana kusukumwa kutoka juu hadi chini,,..
 
Mzima,samahani kuingilia mada naomba nisaidie details za waamuzi
Kuna dogo nataka aende hiyo shule,
Ila sielewi hata ilipo.

Ukiwa watoka Dar, panda gari za Kongowe au Mlandizi. Shuka kituo cha Kongowe. Panda bodaboda wambie wakupeleke Waamuzi sec. Ni mwendo wa takriban dakika 20 hadi 30 kwa pikipiki kutegemea na hali ya barabara.
 
Alitupwa dirishani kutoka ghorofa ya 3 ingia YouTube global tv online utaona video dah inasikitisha mnoooo
Kwamba global tv walikua wakilifahamu tukio hilo in advance hadi wawe standby wakati wa tukio na kuchukuaaa video?
 
Umoja wa ulaya na Marekani wamesemaje kuhusu hayo mauaji ya mwanafunzi. R.I.P Shija
 
Love is a tool of propagation in disguise. The main agenda with love is sex and propagation of ones species.
 
Hata kimada tu akikupiga chini maumivu yake si mchezo, sembuse mke au demu uliyekuwa na malengo naye
 
Back
Top Bottom