Recent content by Mwogahafi

  1. M

    Kikwete awarushia UKAWA tonge la ugali, wanasa

    Siasa za bongoland kila mtu ni mnafiki Hahahaa.....tusubri tuone
  2. M

    Wanaume siku hizi wamekua goigoi sana ndani ya ndoa

    Toa takwimu ya hicho ulichokisema. Maana inaonekana kama umeamka tu na kuandika kabla hujafungua macho.
  3. M

    Mtwara: Kifaru cha JWTZ chaiparamia nyumba na kusababisha vifo!

    Mungu tunusuru na hizi ajali zinazotuandama kila kukicha. Waweke pahala pema huko walikotangulia.
  4. M

    Nimefichua siri

    Huo ni unafiki wako na kiherehere chako cha kushindwa kutunza mambo yako. Tuache ujinga jamani humu ndani hivi kuna yeyote amewahi kuckia kama kuna njia za kutunia kutunza Sirius? Hii ni tabia ya mtu japo si yako tu hata ya wenzako huwa unayafanya vivyo hivyo.
  5. M

    Nimefichua siri

    Huo ni unafiki wako na kiherehere chako cha kushindwa kutunza mambo yako. Tuache ujinga jamani humu ndani hivi kuna yeyote amewahi kuckia kama kuna njia za kutunia kutunza Sirius? Hii ni tabia ya mtu japo c si yako tu hata wenzako huwa unayafanya vivyo hivyo.
  6. M

    Safari ya Zitto Kabwe iliishia njiani, ya Ben Saanane imeisha kabla haijaanza!

    Mnafiki huwa amenyimwa kumbukumbu. CHADEMA M4C imewageukia
  7. M

    Yanayojiri bungeni Dodoma: Jumatano tarehe 10 Septemba, 2014 - Bunge litaendelea kama kawaida

    Cheyo alisema kuna majadiliano yanaendelea kati serikali na tcd na kma yatenda vizuri bunge linaweza kusitishwa.
  8. M

    Yanayojiri bungeni Dodoma: Jumatano tarehe 10 Septemba, 2014 - Bunge litaendelea kama kawaida

    Mipango yote inasimamiwa na serikali halafu wanajikanyaga kanyaga wenyewe pasina sababu za kueleweka. Acha watafune tu...maana tumechoka na watafune tu
  9. M

    Hoja za Kijinga: Kukataa Uraia Pacha kwa Sababu za "Uzalendo" na "Usalama"

    Nilitegemea kuona hizo hoja ukizionyesha ili umshawishi mtu aunge mkono hoja yako. Ila isiwe shida ndo watanzania kulalama na kutoa hoja za pumba. Uraia wa nchi mbili sio chanzo cha kupotea usalama na uzalendo.
  10. M

    Nimefuta namba ya mke wangu, na watu wengine wenye tabia kama hizi

    Kwanini usimkatazie mkeo kumiliki simu yenye apps ya whatsApp. Lala kwanza halafu uamke tena maana naona akili umeacha kitandani.
  11. M

    Kwa namna hii kwanini wanafunzi wasifeli

    Hyo nchi hii yenye misitu mingi bado walimu wanakalia ndoo ni aibu sana. Tz yetu, taifa la wachache
  12. M

    Dawa ya Katiba Mpya Kura ya Maoni - Membe

    Namuunga mkono hapa..."nguvu ya wachache haionekani nje ya bunge kwa kujifanya kama pressure group bali ndani ya bunge" Kumshinda adui si kwa kukimbilia vichakani ila kwa kuingia kwa umakini ktk uwanja wa vita
Back
Top Bottom