Kikwete awarushia UKAWA tonge la ugali, wanasa

Kikwete awarushia UKAWA tonge la ugali, wanasa

Katiba ipo kwenye ilani ya Chadema 2010 lakini kwakuwa siyo chadema wanaongoza nchi hii na kwakuwa ccm waliodandia ilani ya chadema, ni vizuri kuachana nao. Hii ni credt kwa chadema kwani hoja ya kuwa ccm haiwezi kuwapa wananchi katiba imeshinda na huu ndio ukweli dhairi. Hivyo ni jukumu la wananchi kuipa chadema furusa 2015 ili ifumuwe mchakato mzima na kutia muhuri katiba ya warioba maana ndio ya wananchi.

Nakubaliana na wewe UKAWA wamenasa. Kwa sababu kiuhalisia hata kama Katiba ingemalizika leo isingetumika katika uchaguzi wa 2015 kwani kulikuwa na kipengele cha kipindi cha mpito. Kwamba rasimu ilitoa muda wa zaidi ya miaka miwili ili kurekebisha sheria ili ziendane na mabadiliko ndipo katiba iliyopitishwa iweze kutumika rasmi. Pili Bunge linaendelea kukamilisha kazi yake kilichoahirishwa ni upigaji kura kwa wananchi kuikubali au kuikataa katiba itakayopendekezwa na bunge. hivyo BMK halija/halitavunjwa. maana yake hatua ya kura ya maoni ikipita salama hapo mwakani tutakuwa tumepata katiba ambayo UKAWA hawakushiriki kuijadili.

Hivyo kinachofanyika sasa kilitegemewa kifanyike hata kama sio kukosa muda.
 
UKAWA WAMEDHIHIRISHA HAKUNA WANACHOKIPIGANIA ZAIDI YA MADARAKA
Ni mambo matatu tu yaliyowalainisha UKAWA
1.Tume huru ya Uchaguzi
2. Matokeo ya Urais kupingwa Mahakamni
Mgombea Binafsi
Baada ya JK kugundua nini mahitaji ya UKAWA , kazi yake ikawa rahisi sana. Hakuna cha Kodi ya wananchi Inayopotea, hakuna cha haki ya Wakulima, wafugaji, wavuvi wala afya ya Watanzania. Walipokubaliwa tu kile wanachoamini kinaweza kuwasaidia kupata madaraka, haooooo, wakamshika mikono JK kwa tabasamu kubwa.
Bado tutaendelea kuwajifunza watu wanafiki kama UKAWA , siku hadi siku

My take; hongera mama salma kwa juice tamu ya magogoni. Umejifunzia wapi?

Usipotoshe umma hakuna hata kimoja walichokubaliana UKAWA na JK, mkutano uliisha kila mtu kivyake wakatoka kwenye ukumbi wa mazungumzo. Tunajuwa viongozi wetu nini wanafanya tofuati na ccm watu wa kuburuzwa buruzwa
 
tatizo la nchi hii inawatu wenye mawazo mpauko kama wewe.yani wewe unaona ni sawa six na wenzake kuendelea kuliibia taifa kwa kitu ambacho hakipo! ok nyie endeleeni tu kujaza matumbo yenu kwa pesa zetu 2015 mtazitapika mbele ya mahakama ya umma
 
Hivi KUJIKAZA Kisabuni kukoje?

Mtoto wa Mwanaume mwenzangu, una viroja wewe....

strong%20deodorant%20soap.jpg

Homgereni kwa ujasiri wa ku comment, mmejikaza kisabuni huku mnapukutika
 
Kama kuna pro ukawa yeyote anayebisha kuhusu udhalilishwaji waliofanyiwa ukawa..... basi huyo ni pum...bav sana.
Au labda wengi wenu ni wajinga kiasi cha kushindwa kuelewa terms of agreement!!!
katiba inaendelea kama kawa, vipengele viwili vinakopwa na kuingiza katika katiba iliyopo then tunasubiri kura ya maoni. Niliwaambia kuwa tulieni tuwatungie katiba itakayowainamisha kwa miaka mingine hamsini ijayo
 
tatizo la nchi hii inawatu wenye mawazo mpauko kama wewe.yani wewe unaona ni sawa six na wenzake kuendelea kuliibia taifa kwa kitu ambacho hakipo! ok nyie endeleeni tu kujaza matumbo yenu kwa pesa zetu 2015 mtazitapika mbele ya mahakama ya umma
Mnaitaja 2015 huku mnatamani isifike kwani ndio mwisho wa SACCOS yenu. This time hatucheki na mbwa kwani hawachelewi kuingia hadi madhabahuni
 
Na bado wameikubali katiba ileile ya ccm(1977) wanayoilalamikia kuwa kandamizi,hayo marekebisho ni hewa tu,wajinga wali
 
UKAWA WAMEDHIHIRISHA HAKUNA WANACHOKIPIGANIA ZAIDI YA MADARAKA
Ni mambo matatu tu yaliyowalainisha UKAWA
1.Tume huru ya Uchaguzi
2. Matokeo ya Urais kupingwa Mahakamni
Mgombea Binafsi
Baada ya JK kugundua nini mahitaji ya UKAWA , kazi yake ikawa rahisi sana. Hakuna cha Kodi ya wananchi Inayopotea, hakuna cha haki ya Wakulima, wafugaji, wavuvi wala afya ya Watanzania. Walipokubaliwa tu kile wanachoamini kinaweza kuwasaidia kupata madaraka, haooooo, wakamshika mikono JK kwa tabasamu kubwa.
Bado tutaendelea kuwajifunza watu wanafiki kama UKAWA , siku hadi siku

My take; hongera mama salma kwa juice tamu ya magogoni. Umejifunzia wapi?

Fanya kazi kijana acha kupiga porojo.kumuuzia machungwa machungwa mama salma kusikuvimbishe kichwa. Wenzako mda huu wanatembeza machugwa yao wewe umekaa magogoni unapunga upepo.
 
Mimi ni raia wa kawaida tu.

Ila hadi sasa ilitakiwa hilo bunge liwe limevunjwa.

Hata kitakachopatikana hapo kitakuwa batili.

JK kubali yaishe, katiba ni baada ya uongozi wako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom