Ni kweli chadema wamwpoteza muelekeo!wameacha ajenda muhimu wanataka ubunge ili wapate ruzuku!!
Lakini Msigwa anapaswa aje na fikra mbadala za maendeleo coz kuwananga upinzani hakuleti chakula mezani wala kuongeza ajira kwa graduates!!
Aje na fikra mbadala zenye tija kwa taifa!
List haitoki Bure,mlengwa atakua anaandaliwa kukalia kiti kubwa;!
Tutapata Rais kijana sana mchapakazi!
Mungu amlinde!!
Nccr ni chaka la wanaoaminiwa na wenye mamlaka!!Mrema,Hayati jpm na sasa kafulila,hata mzee wasira alikimbilia kule MAJI yalipochemka ndani ya chama!!!
Sishangai kafulila...
Ni vizuri ukaandika na Yale aliyofanikiwa pia ku balance hisia:-
1.uhuru wa kujieleza umerudi!
2.Demokrasia ya vyama vya siasa Hadi upinzani wanaandamana hadharani na niliona askari magereza ameshika bango la kulaani kikotoo Hadi Rais akasikia na kulegeza!
3.Watumishi was imma ambao ni sisi...
Vita na majanga ya kidunia pia vinachangia!!Ulimwengu umeendelea kupitia changamoto kubwa za kisiasa na kiasili ambazo zinaathiri uchumi wetu coz na sisi ni sehem ya ulimwengu!!!
Yatatulia hivi karibuni!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.