Leo ni siku yangu ya tatu hapa nchini Kenya, ni asubuhi tulivu kabisa, jua likiwa limechomoza taratibu na kwa uzuri kama mielezi ya lebanoni, hakika tunauona uzuri wa Bwana. Napita huku na kule hapa KABARAK UNIVERSITY katika shughuli zangu zilizonileta hapa, lakini pia nikijaribu kwa makini sana...