Kisbo alikuwa zamani, sasa hivi ni allys kuanzia speed, comfortability, customer care. .Try out ukiwa unarudi dar. Karibu mwanza, ukihitaji machimbo ya dagaa, samaki just PM if in case huna mwenyeji
Huna UTI, kafanye vipimo zaidi una STD. .kwa dalili unazozisema za kutoa maji maji UTI haina hizo(ina dalili zake kuu) na Kama umetumia AZUMA na haijakata hata kwa muda mfupi hiyo ni dalili ya STD. .kafanye vipimo tena
Mkuu, nafikiri ni vema ukaainisha malengo au sababu za uhitaji huo ili iwe rahisi kupata ushirikiano, binafsi nipo mwanza, ninaweza nikatoa ushirikiano lakini angalau mtu ujue unatoa taarifa kwa malengo yapi isije kuwa ni malengo ovu halafu mtu akapata shida! Nasema hili kwa nia njema ya kujenga
Mkuu weka madini hapa hapa ili Kila mtu apate nondo na kuiona hiyo fursa kwenye mkoa wake alipo! Kuja inbox ni kunyima wengine fursa na kupunguza jam if at all una nia kweli ya kutoa mawazo ya fursa ulizonazo.
Liberty sio rahisi kupata lakini ikitokea si chini ya 10mils +. Kunaendana na makoroboi na dampo, zaidi inategemeana na aina ya frame, ukubwa na eneo hasa ilipo, zipo za chini ya hapo pia.
Angalia Changamoto iliyopo kwenye jamii inayokuzunguka ifanye kuwa fursa yako, Changamoto ni nyingi, tuliza akili, fanya research utaona, lakini pia unaweza jikita kwenye biashara ya nafaka, japo vyuma vimekaza lakini ni Dhahiri lazima watu wale, kwahiyo kwenye nafaka ni best shot nafikiri. Kama...
Hii business ina maeneo mengi ya ku engage with, Kwa mtaji wa milioni 5 au chini ya hapo kuwa dealer ni ndogo sana na kuona faida yake ni ngumu hasa ukianza kuangalia muda, usafiri, chakula n.k. Binafsi ninafanya japo sio dealer ila nipo kwenye extraction kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.