Ukweli ni kwamba asilimia kubwa ya wakemia wanafanya kazi ktk plant si professional pia NEMC hawajui yanayoendelea uko plant kiufupi plant karibu zote za Kanda ya ziwa ni vyanzo vya uchafuzi wa maji.
kuna mmoja yeye alimfuata demu south africa aliporudu north mara mine akakuta kazi imeisha......... huwa wana maamuzi ya ajabu hawa watu sema pesa kweli wanapata wezi balaa....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.