Hakuna kitu isipokuwa wamejiandaa vzr kutafuta masoko kwa kutumia lugha nzuri,ukweli anaefaidi ni mmoja tu tena kwa usawa huu na hizo bei zao utaishia kusoma namba kama ile ya nambari one
Mwalimu wa wapi usiyejua ugaidi angalia ile video alipigwa na mwl.mmoja tena walimu ndo majuzi walikuwa JKT semester moja wakaenda PT tumia akili ndg angalia mwingiliano wa mafunzo hayo ujue hekima,busara na uwezo wa kuhimili mihemko uwepo pale mtu hajakosewa
Tukio la juzi mwanafunzi kupigwa wizara karibu zote zimetoa tamko,asasi za kiraia hata ambazo sijawahi kusikia zimeibuka,wageni rasmi kwenye mahafali wamepata kitu cha kusema,lakn tukio la juzi la mtu kutobolewa macho lipo kwa mkuu wa mkoa tu ndo aliyeguswa.Tukio kubwa ni lipi kati ya hayo mara...
Hivi ni halali mfanyakazi kukosa stahiki yake kwa sababu ya uwepo wa wafanyakazi hewa au ni kisingizio tu,kwa nn anaefanya kazi asilipwe kwa kosa la mtu asiyekuwepo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.